Hivi hii imekaaje katika mahusiano?

Hivi hii imekaaje katika mahusiano?

BABU KIZEE

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2013
Posts
452
Reaction score
72
Habari zenu wote wanajamvi,

Kuna dada mmoja nimeanzanae mahusiano hivi karibuni yapata wiki moja,

Anadai nikajitambulishe kwao hivi wakuu hii imekaaje ukizingatia ni muda mfupi tuliofahamiana? Natanguliza shukurani kwenu naombeni ushauri tafadhali.
 
dah wadada wa siku hizi wanatafuta ndoa kwa udi na uvumba...one week unatangaza ndoa?
 
kwn lengo lako ni nn juu yake kuoa au kupita? kwn ukijitambulisha kwao inakuwa guarantee ya kumwoa?
 
Mmmmmh! Babu mpaka umezeeka huna mke? Makubwaa!
 
Haijalishi kikubwa unampenda nenda unaweza kaa miaka mingi na akaficha makucha
 
Kama ushavua chupi kimbia sana, usiangalie nyuma
 
Kama ulishamvua pichu,pita hivi........siku zote ulikuwa wap kuoa mpaka sasa?
 
Aisee ndoa deal hasa kama bi.dada jua lishazama ashagonga 30+yrs
 
Back
Top Bottom