Hivi hii FIFA RANKING ya timu hutumia vigezo gan?

nyamva

JF-Expert Member
Oct 6, 2015
244
155
Wasalaaam wanajamvi.
Baada ya salaam nadiklea interest kuwa mi naipenda England. na niseme ukwel pia kuwa sijui kwanini naipenda. Labda ni kwa vile England ya akina seaman ., Beckham ilinikosha.
Sasa hii ni timu au genge la wahuni wamekusanyana wakaamua kupitia na wachezani watatu na kuamua kwenda euro 2016?
Jana ilikuwa kituko, mpira wa ovyo, wachezaji wa ovyo, mbinu za ovyo, mchezo wa ovyo,
Watu pekee waliojaribu euro hii ni walker, rose na henderson. Waliobaki ndo wahuni waliokusanyana na kibabu kile kipuuuzi, joe hart ndo cjui jana alizivuta zikapitiliza? Anyway tuyaaache hayo .
Suala pekee ninalopenda nisaidiwe na wenye weledi huu wa soka JE NI VIGEZO GANI HUTUMIKA KURANK TIMU ZA TAIFA? Maana England hii tungekuwa tunagombania nayo nafas kwenye 100+.
Nawasilisha nikiwa na hasira!!!
 
Wasalaaam wanajamvi.
Baada ya salaam nadiklea interest kuwa mi naipenda England. na niseme ukwel pia kuwa sijui kwanini naipenda. Labda ni kwa vile England ya akina seaman ., Beckham ilinikosha.
Sasa hii ni timu au genge la wahuni wamekusanyana wakaamua kupitia na wachezani watatu na kuamua kwenda euro 2016?
Jana ilikuwa kituko, mpira wa ovyo, wachezaji wa ovyo, mbinu za ovyo, mchezo wa ovyo,
Watu pekee waliojaribu euro hii ni walker, rose na henderson. Waliobaki ndo wahuni waliokusanyana na kibabu kile kipuuuzi, joe hart ndo cjui jana alizivuta zikapitiliza? Anyway tuyaaache hayo .
Suala pekee ninalopenda nisaidiwe na wenye weledi huu wa soka JE NI VIGEZO GANI HUTUMIKA KURANK TIMU ZA TAIFA? Maana England hii tungekuwa tunagombania nayo nafas kwenye 100+.
Nawasilisha nikiwa na hasira!!!
wanarank kutokana na kadri timu ya taifa inavyo shinda mechi za kimataifa,hii ni pamoja na mechi za kirafiki,na mechi za mashindano.pia kadri unavyo shinda mechi ndivyo unavyozidi kujiongezea point nyingi za kukufanya upande rank.
 
kwa mfano timu iliyo ifunga england jana imepewa point nyingi sana,kuliko ambavyo englang angeshinda.
 
Back
Top Bottom