Hivi Halotel kwanini mnafanya hivi?

ni nzuri pia sababu ni tofauti na mitandao mingine wanavyofanya voda kama unadaiwa ukiweka tu salio wanakata ila halotel wanakupa mda me nadaiwa na halotel 1000 mwezi ushakata hawajakata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…