Hivi hali hii ni kwangu tu ...!!!

Hivi hali hii ni kwangu tu ...!!!

faraday

Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
38
Reaction score
10
Habari zenu wana MMU
Mi nikiwa naumwa hua nahamu sana tena saana ya kufanya mapenzi tofauti na nikiwa siumwi.

Nikiwa hoi tena serious lakini hali hiyo inantokea sana .

Mara kwa mara mgegedo unasimama.

Msaada jamani Hivi hali hii ni tatizo?
 
Its because you are always LOVE SICK.
 
Aisee utakuwa na jini kusimama! Kaombewe mwaya!
 
Labda ukiwa unaumwa(hamu ya kujamiiana) nitakuelewa, lakini sio ugonjwa/maradhi
 
Hamna uyo amejizoesha ku do kila cku ...........kuna jirani yangu hapa mke wake analalamika jamaa uwa anaweka dushelele kwenye papuchi hata kama akiwa amepumzika,... akishtuka anaendelea.....
 
mmmh hilo gegedo lako ni kiboko, hata siku ukifa lenyewe litasimama paredi

Duh kama ni utabiri huu wa kwako noma, ikitokea hivyo wazee wa mila wasema lazima litulizwe ili azikwe salama, kama na mke atahusika kulituliza sasa sijui kama akiwa single nini hufanyika.
 
haaaa haaaa haaaa sipat picha hali inavyokuwa kwa wanawake wanaolazimika kutuliza mzuka wa waume zao ambao ni marehemu
Duh kama ni utabiri huu wa kwako noma, ikitokea hivyo wazee wa mila wasema lazima litulizwe ili azikwe salama, kama na mke atahusika kulituliza sasa sijui kama akiwa single nini hufanyika.
 
haaaa haaaa haaaa sipat picha hali inavyokuwa kwa wanawake wanaolazimika kutuliza mzuka wa waume zao ambao ni marehemu

Kwa vile ni wenza wao sizani kama huwa wanapata shida sana, na mpaka uone kuna utaratibu kama huo basi ujue hilo jambo huwa linatokea japokuwa huenda hutokea kwa nadra sana.

Lakini pia nadhani kwa sheria za ki-islamu zinarusu wanaume kushiriki mapenzi na wake zao ambao ni wafu kama kumuaga vile ndani ya masaa sita baada ya uhai kutoweka, nchi kama Misri walikuwa wanafanya hayo sijui kwa sasa maana nchi iko kwenye mtifuano mkali kwa sasa
 
haaaa haaaa haaaa sipat picha hali inavyokuwa kwa wanawake wanaolazimika kutuliza mzuka wa waume zao ambao ni marehemu

na yaweza ujauzito ukashika hapo ....
 
Mmh iyo nayo kaz ss jirani yako ana tia ktk pupusa ucku wote?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom