Damian Godifrey Chami
Member
- Sep 13, 2017
- 52
- 21
Hivi bikra zimeendaga wapi jamani. Mimi nina wasiwasi na wasichana wa leo sijui wanajitoa wenyewe mbona zamani zilikuwa za kumwaga embu funguka wewe.
Msichana unaejiamini umetolewa au umejitoa.
Msichana unaejiamini umetolewa au umejitoa.
