Hivi Arusha mkoje?

Makamee

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
2,029
Reaction score
1,201
Mwanamume mmoja aitwae Mango Sarakikya anaefanya kazi ya kupandisha watalii mlima Kilimanjaro amemaliza hasira zake kwa kumbaka mtoto wake wa kumzaa anaesoma darasa la pili mara baada ya kutokea mzozo kati yake na mkewe.kwakua alinyimwa unyumba. Tukio limeripotiwa kituoa cha polisi Tengeru.
Katika tukio jingine mkazi mmoja wa mtaa wa Kambi ya Fisi hapohapo Arusha anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kumueka kinyumba mtoto wake wa kumzaa na kumfanya mke wake.

Laana hiyo,ARUSHA MNA MATATIZO GANI?
 
Ubakaji: Zanzibar usiyoijua.....kwako yakhe Makamee



hivi zanzibar kunani?
 
Last edited by a moderator:
Acheni kula mirungi Arusha utambakaje mtoto kisa mama yake kakunyima unyumba?
 
Hlo ni janga ambalo linaloweza kutokea hata mtaani na wilayan kwako na cyo Arusha tu,ni janga la kitaifa mkuu afu wanaofanya hvo vitendo cyo watu wote wanaokaa Arusha!kumbuka kwenye msafara wa mamba na kenge pia wamo!watu wa Arusha ni wazuri tuuu!polen waliokutwa na usodoma huu
 

Huoni jina hapo juu SARAKIKYA NI MMERU kabisa huyo. Bangi tu +mirungi
 
Kuna uwezekano mkubwa kwa ajili ya ugomvi wa wazazi hawa, mama kaamua kumchafua baba,ni simple mother kum-feed information za uongo mtoto kwa ajili ya kummaliza baba.believe me kunauwezekano huyo mtoto hajabakwa!chezea mtoto wa kike weye!hasa mkitofautiana!
 
Arusha ni mkoa wa kwanza unaoongoza kwa kilimo cha bangi ukifuatiwa na mkoa wa mara.

nafikiri nimejibu chanzo
 

Mkuu hii sio tamthilia mpaka muda huu mtoto amelazwa hospitali ya mkoa Mt.Meru. Kamgeuza mbele na nyuma
 
Inasikitisha kwa kweli ukatilili wa aina hii kwa watoto mpaka lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…