Ni jumapili iliyopita alikuwa uwanja wa Jamhuri Dodoma na jana Mwembeyanga Dar akinadi sera zake za "sitowaangusha". Msajili wa vyama pamoja na tume ya uchaguzi wamekaa kimya bila kusema lolote. Hii inamaanisha vyama vinaweza kuanza kampeni kabla tume ya uchaguzi haijaruhusu?
Au kwenu wadau limekaaje hili jambo? Tuelimishane wajuzi wa sheria na taratibu za uchaguzi bila kuingiza ushabiki na mihemko.
Au kwenu wadau limekaaje hili jambo? Tuelimishane wajuzi wa sheria na taratibu za uchaguzi bila kuingiza ushabiki na mihemko.