britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Mtoa post nilitegemea sana unakuja na hoja ya maana na msingi ambayo ingetazamwa kama sehemu ya GT katika Jamiiforums lakini ajabu umekuja na mambo ya kitoto sana labda kwa sababu ya chuki zako binafsi za kidini.
kuficha mimba hakuhusiani na mavazi na kumbuka kwamba mimba haifichwi kwa mavazi itaonekana tu,ima nyumbani au hata shuleni,suala la mimba haliendi peke yake kwa mtazamo wa mavazi,hata dalili ni ishara tosha ya kumjua mjamzito,labda iwe kwamba kiumri ama kiufahamu wa akili yako huyajui haya mambo.
Uchafu ni asili ya mtu,kama wewe ni mchafu ni mchafu tu hata uwe vipi,hata uvae vipi,hata uwe nani utabaki kuwa mchafu.
kumbuka moja kati ya masuala makubwa katika dini ya uislamu ni usafi,usafi ni sehemu ya imani ya muislamu.
Unatutia mashaka na kiwango chako cha uelewa wa neno UNIFORMITY,inawezekana lkabda ni kwa sababu neno hili ni lugha ya kigeni ana pia hufahamu tafsiri hali ya maana yake,kwa muonekano wowote ule ambao utakubaliwa kuwa sehemu ya uniform,basi hautabadilishwa hadi mtu awe nje ya makubaliano ya kiuniform.
hivi uliwahi tumia uwezo wako wa kufikiri kisha ukajiuliza kuhusu maana na matumizi ya tunguri kisheria ?
Ili ni swali la msingi wasivaeMi naomba kujua ni wapi kwenye Quran Tukufu pameandikwa kuwa kuvaa hijabu ni hitaji la lazima katika dini ya Islam.
Unamsingizia JK. Kuvaa hijabu ilianzishwa na Alhaji Ali Hassan Mwinyi.Hii ilisababishwa na kikwete sasa nasikia wana hata mahakama ya qadhi singida , na.magufuli naye ka mute
Mbona siku za Nyuma walikuwa hawazivai?Mi naomba kujua ni wapi kwenye Quran Tukufu pameandikwa kuwa kuvaa hijabu ni hitaji la lazima katika dini ya Islam.
Inabidi wawe uniform siyo mambo ya kutofautianaKuvaa hijab ni jambo1 na kutumia hijab kufanya maovu ni ishu nyingine acha chuki mkuu..
Inamaana watu wasipewe leseni za bodaboda eti kwa sababu baadhi ya watu wachache wanafanyia ualifu?
Km kuna hiyo shida ni tatizo la wazazi na walimu kutokuwa makini na kazi yao ya ulezi.
NB: acha chuki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi wawe uniform siyo mambo ya kutofautiana
Jamaa umetoa hoja nzuri sana.Kuvaa hijab ni jambo1 na kutumia hijab kufanya maovu ni ishu nyingine acha chuki mkuu..
Inamaana watu wasipewe leseni za bodaboda eti kwa sababu baadhi ya watu wachache wanafanyia ualifu?
Km kuna hiyo shida ni tatizo la wazazi na walimu kutokuwa makini na kazi yao ya ulezi.
NB: acha chuki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunajali wawe na Uniform kama wengine, kitendo.cha kuongeza vazi la.ziada ambalo wengine hawana ni kuvunja misingi ya sareSasa kama wanaficha mimba zimeonekaje?
Wakristo hawana cha kuvaa zaidi ya msalaba na wanavaaa.
Asiyekuwa na dini Kwa mtazamo wako yy hana anachoamiini sasa atavaa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanavaa sare kama wengine !wanavaa sket ndefu zenye heshima na kujistiri USO na vifua vyao.Tunajali wawe na Uniform kama wengine, kitendo.cha kuongeza vazi la.ziada ambalo wengine hawana ni kuvunja misingi ya sare
Hivi hijabu ikivaliwa, kwani ndani yake kuna uniform kama waliovaa wengine? Sidhani kama wanavaa uniform mana si inafunikwa na hilo hijabu?Tunajali wawe na Uniform kama wengine, kitendo.cha kuongeza vazi la.ziada ambalo wengine hawana ni kuvunja misingi ya sare
Hijabu lipo katika mfumo wa uniform.Hivi hijabu ikivaliwa, kwani ndani yake kuna uniform kama waliovaa wengine? Sidhani kama wanavaa uniform mana si inafunikwa na hilo hijabu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kwenye video Maria mama yesu anavaa hijabu?hata Kama kwenye dini haipo lakini ni ustaarabu!!au ww mpagani?Mi naomba kujua ni wapi kwenye Quran Tukufu pameandikwa kuwa kuvaa hijabu ni hitaji la lazima katika dini ya Islam.