Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,422
- 5,594
Habar wana jf..
Nmeunga bando la internet yatosha la buku 3 ambalo ni 1Gigabyte for one week,leo napata very bad experience mnara hautulii kwenye 3G ingawa simu yangu inauwezo wa kulimit mnara usishuke zaidi ya hapo,nikieka Wcdma only inakataa kupandisha mnara kabisa yan simu inakuwa kama kwenye Airplane mode mpaka nikirudisha kwenye gsm ndio inakubali kukamata "E"
Katika kutafuta solution nkaona nipige customer care niulizie nini yaweza kuwa shida,cha kushangaza eti siwezi kuongea na huduma kwa wateja mpaka wanikate sh.60! Hivi hiki ni nini hawa jamaa wanatufanyia??? Kwani simu zetu za malalamiko si ndio zenye mchango katika kuboresha huduma zao pia? Kuna maana gani yakusema Airtel Yatosha kama kitu basic kama hiki wanakiwekea tozo,ina maana tusio na hela tusilalamike ama sijaelewa mantiki yao,kw mwenye wazo anishauri kitu!
Nmeunga bando la internet yatosha la buku 3 ambalo ni 1Gigabyte for one week,leo napata very bad experience mnara hautulii kwenye 3G ingawa simu yangu inauwezo wa kulimit mnara usishuke zaidi ya hapo,nikieka Wcdma only inakataa kupandisha mnara kabisa yan simu inakuwa kama kwenye Airplane mode mpaka nikirudisha kwenye gsm ndio inakubali kukamata "E"
Katika kutafuta solution nkaona nipige customer care niulizie nini yaweza kuwa shida,cha kushangaza eti siwezi kuongea na huduma kwa wateja mpaka wanikate sh.60! Hivi hiki ni nini hawa jamaa wanatufanyia??? Kwani simu zetu za malalamiko si ndio zenye mchango katika kuboresha huduma zao pia? Kuna maana gani yakusema Airtel Yatosha kama kitu basic kama hiki wanakiwekea tozo,ina maana tusio na hela tusilalamike ama sijaelewa mantiki yao,kw mwenye wazo anishauri kitu!