Kutukana Kiingereza hujisikii vibaya kama kutukana lugha yako.
Ahhh wap,zisi zati nyiiing,weng mnatakaga kuinyesha uwezo tuu.hakuna kingne.tusi ni tusiLugha ya kiingereza huwa inamaneno mafupi ambayo ukiweka kwa kiswahili inakuwa maana ndefu sana.....
Mfano mtu anakwambia....Idiot,Moron etc...ni neno moja tu lkn ukitafsiri kwa kiswahili ni hatar
Hahaha.....Ahhh wap,zisi zati nyiiing,weng mnatakaga kuinyesha uwezo tuu.hakuna kingne.tusi ni tusi
Tunafanya mazoezi, Kiswahili tushakijua.Ahhh wap,weng hua mnataka kuonyesha uwezo tuu,hakuna lolote,zisi zati nyiiing
Hahhaha Ila kuna ukweli aiseeWakuu nmeshuhudia hii kitu mara nying sana,utakuta watu wanarumbana,mara gafla mtu anachomekea tujineno twa ngeli,hahahahahaha,hua nashikwa na kicheko kikal,..ni kwamba unaonyesha msisitizo ama??