Mkuu hakuna kipindi dunia imeishi bila kuongozwa na dola fulani kubwa..hii dola ya america haikuwepo kipindi cha nyuma, palikuwa na wababe wengine ambao kwa nyakati zao waliongoza dunia'
Hujawai sikia dola la rumi? (Rumi empire) uajemi, hujui kuhusu misri chini ya farao?
Au wewe unajua ni hadithi tu za kutunga!!?
Kipidi hicho hiyo marekani inayoisema ilikuwa si loloote!
Nyie wcb ni shidaaa!!
Sent using
Jamii Forums mobile app