Historia ya samaki mtu imekaaje wakuu?

Huyo ni nguva!! wanapatikana Baharini sana kwenye kina!! kama mjuavyo asilimia 90 ya viumbe wa baharini na bahari yenyewe bado havieleweki kwa wataalamu wa Marine creatures! so msi shangae na mengi mtayaona zaidi ya hayo!!

Na baharini kuna viumbe weeeengi mno kuliko nchi kavu!
 
Hayo alitengenezewa humo humo baharini maana wadada wa salon hawashindwi
Kama wanakufuata mpaka home sasa baharini watashindwa kweli
 
Hata na mimi huwa nataka kujua hii kitu ni kweli ipo mana kuna kipindi niliwahi ona samaki wa ivo lakini juu alikuwa ni mwanamke mwenye ngozi nyeupe.
 

Acha stori za vijiweni mkuu
Nguva ni mnyama anakula nyasi bahari wala sio nusu binadamu kama tunavyolishana matango pori.

Nguva ni dugong au sea cow jina maarufu.

Hakuna samaki mtu kwenye sayansi ya viumbe wa majini unless kuwe ni mauzauza ya ulimwengu wa giza kama ilivyo uwepo wa majini baharini.

Save my comment mkajisomee wanyama wa kundi la Sirenians
 
Sio mhuni tu mmoja kaamua kuvaa hilo li mkia?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…