watu washamba kama makondaaafai kuwa viongoziNchi Hii Kwa Ilivyo Sasa Inabidi Kutumia Style Ya Makonda Kwanza Ili Watu Wanyooke Na Wajue Kuna Serikali. Wako Vijana Na Watu Wazima Walioambukizwa Ujuha Na Viongozi Hasa Wa Kisiasa Wasioheshimu Mamlaka. Hawa Ni Kudeal Nao Hivihivi Kwanza Baada Ya Mwaka Watakuwa Wamerudi Kwenye Mstari
Simpendi makonda, hasa kuwa mtu wa kupenda masherehe sana wakati kipindupindu kikipiga kasi,eti sherehe ya kuwapongeza polisi, only in Tanzania unawafanyiaje sherehe watu wanaotimiza wajibu wanaopaswa kutimiza. Simpendi huyu siyo cr?ative yeye anapenda kula kula tu na masherehe
makonda aangalie sana hajui kwa nini kubenea alimwita yeye kibaka uwenda kuna siri ambayo kubenea anaijua
MAKONDA MTAMPENDA TU! Mlikuwa hamjui DC ni Mkubwa kupita Mbunge.... Hongera MAKONDA kaza uzi...wakileta UJINGA tupa LUPANGOooo........ WAKIWA hao.....
Kasoma Chuo cha ushirika moshi
Usikonde mkuu.[/QUOTE
Ya simu huna?
Kuhusu mkubwa nani kati ya DC na mbunge - hiyo equation haiko wazi; wawili hao wote wanatoka kwenye mihimili tofauti ya dola - Serikali (Makonda kama mkuu/rais wa wilaya), na Bunge (Kubenea kama mbunge/mwakilishi wa jimbo la wananchi).
Kamwe huwezi kuwaweka hao pamoja na kusema nani mkubwa - wanatoka kambi tofauti zenye utendaji wenye uhusiano tu na sio ulinganifu.
Cha maana hapa kwa hao wawili ni KUHESHIMIANA; kila mmoja afanye wajibu wake vema kwa kadiri ya majukumu yake (JDs)
Kasoma Chuo cha ushirika moshi
.Acha jazba unafikiri wanaweza kuwafunga watu wote wa kinondoni au wakorofi wa nchi hii.inahitaji busara ya hali ya juu unapowaongoza watu.sio kama mchunga mbuzi mluzi tu mbuzi wanageuka.take care mkuuNchi Hii Kwa Ilivyo Sasa Inabidi Kutumia Style Ya Makonda Kwanza Ili Watu Wanyooke Na Wajue Kuna Serikali. Wako Vijana Na Watu Wazima Walioambukizwa Ujuha Na Viongozi Hasa Wa Kisiasa Wasioheshimu Mamlaka. Hawa Ni Kudeal Nao Hivihivi Kwanza Baada Ya Mwaka Watakuwa Wamerudi Kwenye Mstari
Anayemjua makonda vizuri ni mange kimambi, tokea analala gheto nkAliwahi kumchana Lowasa live, itakua Kubenea.
Marehemu Sita ndiyo baba yake wa kufikiapia inasemekana hamjui baba yake halali ni yupi