Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,479
- 11,671
Habari wanajamvi;
Naomba tusaidiane kujua background ya huyu Mkuu wa Wilaya yetu ya Kinondoni.
Tujue kidogo maisha yake, elimu yake alikulia wapi aliishi vp uko alikotoka na mengineyo.
Naomba msaada jaman.
Kuhusu Simu?!!makonda aangalie sana hajui kwa nini kubenea alimwita yeye kibaka uwenda kuna siri ambayo kubenea anaijua
Watanzania ni wepesi sana kusahau. Hamkumbuki ile scandal katika Bunge la Katiba? Nani alikuwa mwizi wa simu za wajumbe? Ni nani alikuwa akionekana kuwa karibu watu wanaweka simu zao kwenye mikoba na mifukoni? Sasa kwa tabia kama hiyo utamwita nani mtu kama huyo anayelipwa Shs 300,000/ per diem na anaiba simu za wenzake?
Kwa vyovyote vile ni Kibaka tena mzoefu.
Hongera Kubenea kwa kutukumbusha jambo tulilokuwa tumesahau, kweli wewe pamoja na kuwa Mbunge bado ni mwandishi nguli asiye sahau matukio. Ni vema ile story ya wizi wa simu BMK ukaiweka tena katika gazeti ili watu wa Kinondoni (ambayo inasifika kuwa na vibaka wengi) wajue kuwa wameletewa DC ambaye ni kubwa lao hao vibaka.
mbabaishaji, mfuta viatu
looh uzuri wa JF watu wana madini ya historia za watu bwanaSimu aliyoiba si ilikuwa tu mambo ya huko mwanza ukimtaka unachukua kanga au kandambili yake ili mkutane baadaye
anainamia wanume wenzake kuwafunga kamba za viatu
Habari wanajamvi;
Naomba tusaidiane kujua background ya huyu Mkuu wa Wilaya yetu ya Kinondoni.
Tujue kidogo maisha yake, elimu yake alikulia wapi aliishi vp uko alikotoka na mengineyo.
Naomba msaada jaman.
MAKONDA MTAMPENDA TU! Mlikuwa hamjui DC ni Mkubwa kupita Mbunge.... Hongera MAKONDA kaza uzi...wakileta UJINGA tupa LUPANGOooo........ WAKIWA hao.....
Usikonde mkuu.
sasa mtu wa aina hii anapewaje ukuu wa wilaya anaweza akawa anaishiwa naye pumzi sibure
Kuhusu mkubwa nani kati ya DC na mbunge - hiyo equation haiko wazi; wawili hao wote wanatoka kwenye mihimili tofauti ya dola - Serikali (Makonda kama mkuu/rais wa wilaya), na Bunge (Kubenea kama mbunge/mwakilishi wa jimbo la wananchi).MAKONDA MTAMPENDA TU! Mlikuwa hamjui DC ni Mkubwa kupita Mbunge.... Hongera MAKONDA kaza uzi...wakileta UJINGA tupa LUPANGOooo........ WAKIWA hao.....