Hisia za wanawake

rich73

Member
Joined
Jun 21, 2014
Posts
20
Reaction score
2
Hivi naomba niulize kitu. Kuna kipindi huwa inatokea akiingia demu mzuri au hata wa kawaida tu mahali fulani, utakuta midume inammezea mate. Hivi hisia hizi na wanawake wanakuwaga nazo kweli kwa maana kuwamezea mate wanaume hasa mahendsam kama mimi?
 
Aaaagh wap.wataishia kumsfia tu kaka yule mzur, havshtuk kama vya wanaume vnavosmama
 
Hivi naomba niulize kitu. Kuna kipindi huwa inatokea akiingia demu mzuri au hata wa kawaida tu mahali fulani, utakuta midume inammezea mate. Hivi hisia hizi na wanawake wanakuwaga nazo kweli kwa maana kuwamezea mate wanaume hasa mahendsam kama mimi?

Wa-kisasa wanamezea mate pesa sio u-handsome wako bro.!
 
Hii kitu inakuhusu kwa 100%
 

Attachments

  • 1404423521385.jpg
    34.6 KB · Views: 287
Mademu wazuri utaishia kuwaita shemu we shambaboy sorry nilkuwa namanisha handsomeboy!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…