Hivi naomba niulize kitu. Kuna kipindi huwa inatokea akiingia demu mzuri au hata wa kawaida tu mahali fulani, utakuta midume inammezea mate. Hivi hisia hizi na wanawake wanakuwaga nazo kweli kwa maana kuwamezea mate wanaume hasa mahendsam kama mimi?
Hivi naomba niulize kitu. Kuna kipindi huwa inatokea akiingia demu mzuri au hata wa kawaida tu mahali fulani, utakuta midume inammezea mate. Hivi hisia hizi na wanawake wanakuwaga nazo kweli kwa maana kuwamezea mate wanaume hasa mahendsam kama mimi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.