Hisa zikienda chini, ndio wakati wa kununua na zikienda juu uza. Unataka kununua wakati bei iko chini na kuuza wakati bei ziko juu ili upate faida kubwa. Kwa hivyo, huu ndio wakati wako wa kununua kwa sababu ziko chini. Lakini, fanya research ya kutosha kabla huja nunua hisa za kampuni yeyote. Angalia kama wana management nzuri, ubora wa bidhaa zao na kama wanauza kwa wingi, na angalia future investments...n.k
Nategemea watalaam wa mambo ya hisa watachangia zaidi.