Hisa Pepe: Je ni nini?

Mzozo wa Mizozo

JF-Expert Member
May 26, 2008
426
12
Mimi nahitaji kujua zaidi husiana na hawa jamaa wa hisa pepe.. Ni kwamba tangu wameweka website yao hewani na kujitangaza kwa bidii zote huku wakihamasisha watanzania kujiunga kwa wingi ili waweze jipatia kipato kidogo kwa kusoma matangazo na mengineyo hakuna lolote la maana ambalo waweza sema limefanyika katika tovuti hiyo na ni mwezi wa nne sasa.

Swali ambalo nataka kupatiwa ufahamu wake hapa ni je hawa waheshimiwa walikuwa wanaingia katika hii 'undertaking' wakiwa wanafanya kwa majaribio ama walitaka kuwapotezea muda waTZ? Na je kama imewashinda kwa nini wasikubali matokeo, kuifunga na kuendelea na mengine?

Salaam.

 
Last edited:
Ni utapeli wa hali ya juu. Nashangaa website nyingine wamekubali kuungana na hawa wahuni. Asante JF kwamba hamjaingia mkenge. Jamaa wanachofanya ni usanii tu. Mimi namjua mtu behind this, nitawapa baadhi ya emails alizowahi kunitumia na wizi wake.

Ni opportunist mzuri sana ukimsikiliza na kuingia kwenye mtego simpo sana. Webmasters ndiyo target yake kubwa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…