Ha ha ha ila nchi za kijamaa zina mikwara aiseee, nkikumbuka mikwara ya putin kabla ya hii vita na mwanzoni mwa hii vita, nikitazama vita hapa ilipofika, kweli Russia tulimkuza mdomoni tu.
Nikikumbuka na biti la China pale Taiwan ndo kabisaaa, nchi za kijamaa ni upupu mtupu.