Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
kazi ya Raisi je?:israel:
kazi ya Raisi je?:israel:
Kuomba omba!
acha mawazo mgando , utajili wanauchuma wapi; kwa taarifa yako Africa ndo nomaSasa wewe unalinganishaje?......Marekani na Tanzania ni kama mashariki na magharibi hazitakaa zikutane kamwe!
Kwa hiyo unataka tumwambie JK aongeze zaidi safari au?
Kwahiyo ndio mna justify safari za mkulu?
Tuesday morning, the former first lady completed an epic 13-day journey of 27,000 miles about 2,000 miles more than the circumference of the Earth through and over Europe to Asia and then doubling back to the Middle East.
source..yahoo
Tuesday morning, the former first lady completed an epic 13-day journey of 27,000 miles about 2,000 miles more than the circumference of the Earth through and over Europe to Asia and then doubling back to the Middle East.
source..yahoo
Siku nyingine jaribu kutumia kichwa kufikiri, sio makalio, Clinton ni kama membe na shughuli yake kubwa ni kusafiri.Tuesday morning, the former first lady completed an epic 13-day journey of 27,000 miles - about 2,000 miles more than the circumference of the Earth - through and over Europe to Asia and then doubling back to the Middle East.
source..yahoo
Pole sana kwa uelewa finyu ndugu yangu, kinachoongelewa hapo ni maili na sio idadi ya safari, ninaamini kabisa ukipembua yakinifu bado kwa safari 331 jk hatakuwa hana mpinzani!
huyu ni waziri wa mambo ya nje so kuwa nje ni sehem ya kazi yake! weak comparison!Tuesday morning, the former first lady completed an epic 13-day journey of 27,000 miles - about 2,000 miles more than the circumference of the Earth - through and over Europe to Asia and then doubling back to the Middle East.
source..yahoo
Pole sana kwa uelewa finyu ndugu yangu, kinachoongelewa hapo ni maili na sio idadi ya safari, ninaamini kabisa ukipembua yakinifu bado kwa safari 331 jk hatakuwa hana mpinzani!
Mind u Hillary Clinton ni waziri wa Mambo ya Nje na Kikwete ni Raisi I think it will be fair if ukimlinganisha Obama na Kikwete.Then Hilary Vs Membe
kwani si ndio kazi yake kama waziri wa mambo ya nje, sijui kwanini Membe yupo nchini kutafuta urais na akienda nje atakumbukwa kwa kuwa mouthpeace ya akina ghaddafi na wakora wengine.Kikwete badala ya kuwa nchini anakwenda nje-hajijui kuwa si waziri wa mamabo ya nje tena
Kwahiyo ndio mna justify safari za mkulu?
kweli hawa ccm wanamatatizo sana,mimi nashangaa hata baba wa taifa alishawahi kusema huwezi fananisha tanzania na nchi za ulaya na marekani wakati anaongelea swala la globalization,sasa sijui huyu aliyeweka hii thread alikuwa anamaanisha nini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!