Ngoja tuwasubiri Customer Care Wa tGO waje?Habar wana jamvii?
Kuna jambo limekua likinikera sana toka mtandao wa tigo.unakuta umeweka credit yako fresh.umenunua kifurushi cha dakika then unawatwangia uliowakusudia.
Sasa tatizo linakuja pale inapokua imebaki dakika moja kwenye kile kifurushi.kuna mdada anakata maongezi yenu kwa kukumbusha umebakiwa na dakika moja.tena ghadhabu zaidi anaongea kiswahili baadae kingereza.utasikia"muda wako ni chini ya dakika moja....."sasa najiuliza yule niliyempigia nae huwa anamsikia huyu dada akizungumza?na kama hamsikii inakua anasikia nini wakati mimi nikiwa naambiwa salio langu ni chini ya dakika?
Nakumbuka ilikua salio lako likibaki chini ya dakika unapigiwa alarm.sijui tatizo ni nini hadi wametoa alarm wakamleta mdada.
Kwa upande wangu Naona Tigo wamefeli hapo.
Sawa broUnajua kisa cha kuwepo DDP ile office ina kazi za kuangalia kesi zisizo na maana na kuzifuta ili kuepusha mlundikano wa kesi mahakaman...nafkiri ni wakati muafaka kwa sasa kua na kitengo hicho hapa JF kuepusha mlundikano wa post za namna hii
hilo ndio umeliona? mimi ninashangaa tangazo la joti yupo ukumbini kuoa na simu yake ipo wazi. Eti simu ikaita akamwacha bibi harusi akakimbilia simu yake kuwai bando lisiishe.
Kushikiria = kushikiliawanaboa kweli... watu wao wa marketing wamekaa wameona ndo solution hiyo!!? hata wakisema hivyo katikati ya maongezi you cant change anything...
hizi nafasi zingine bora waendelee kushikiria wazungu tu
Ile ni notification kutoka tigoKumbe sikuona peke yangu, utaokoaje bando ilihali hujapiga wewe??!.
Haitakaa itokee sim Nipige Mimi bando uokoe wewe.