hili ndio kundi bora la mziki

hili ndio kundi bora la mziki

shabhibhii nafwa

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
300
Reaction score
148
Wadau wa mziki hapa nchini kuna wanamziki wengi vilevile na wasanii kibao ambao ndo wengi zaidi. Kiboko yaoni kundi linaitwa WAMWIDUKA BAND wanamziki wa tanzania wasiojua mziki wakasome kwa hawa watoto.


Ali kiba, Diamond na wengine mkajifunze mziki kwa hawa watoto sitanii huu ni ukweli kabisa, huamini cheki show zao kule SAUTI ZA BUSARA ZANZIBAR ukibisha utakuwa unalala na bundi, vilevile mabishoo angalieni nyimbo yao inayotwa kilingeni.


SERIKALI mngewapeleka wamiduka kule misri wangewawakilisha vizuri kuliko hao jamaa zake amunike
 
Hivi kwanini watu wengi wakizingumzia mziki mzuri tanzania hutolea mifano ya kina alikiba na diamond tu?

Wasanii kama Wakina mbishi, nash mc, p mawenge incredible songa nk mbona mnawasahau sana hawa ma legend?
 
Weka picha na clip ya baadhi ya nyimbo zao ili tuwatathmini.
 
Me naona kings music ndo kundi bora kwa sasa,Ila lawama namtupia alikiba kashindwa kuwabrand wale vijana.
 
Hivi kwanini watu wengi wakizingumzia mziki mzuri tanzania hutolea mifano ya kina alikiba na diamond tu?

Wasanii kama Wakina mbishi, nash mc, p mawenge incredible songa nk mbona mnawasahau sana hawa ma legend?
Hiyo ni sawa na kuzungumzia mpira wa miguu Tanzania zinatajwa Yanga na Simba tu wakati kuna timu zingine
 
Back
Top Bottom