Hili ndilo hutokea mahakamani na wengi wetu hatukubali ukweli huu

omtiti

JF-Expert Member
Jun 19, 2019
1,022
1,590
Ni mbaya sana kufikiri kwamba, unaposhinda shauri lako ,mahakama imetenda haki, na unaposhindwa mahakama inaingiliwa.
Kuna wakati ukipoteza mwenzio anapata na ukipata mwenzio anapoteza.
Hii ndio kanuni ya haki.

Tuache upotoshaji,ngoma ni mbichi ,ukishangilia ushindi mwenzio anahuzunika kushindwa ,jiandae kuhuzunika mwenzio atakaposhinda

Mpambano unaendelea tukutane siku zijazo kupeana mrejesho tena
 
Naona mpambano upo kati ya mawakili wa Lissu VS Mawakili wa serikali swali langu ni hili serikali inawakilishwa na mawakili 16 Lissu mawakili 4 sasa je kwa nn jaji awe pekee yake maana kwangu mimi naona kama anaweza kuzidiwa na wingi wa hoja toka kwa mawakili na kumpelekea kufanya maamuzi nje na taaluma,mfano daktari akitibu wagonjwa wengi sana kwa wakati mmoja anaweza kujikuta amekosea ata kuandka dawa husika kwa mgonjwa husika vp hapo mnasemaje wadau
 
Ni mbaya sana kufikiri kwamba, unaposhinda shauri lako ,mahakama imetenda haki, na unaposhindwa mahakama inaingiliwa.
Kuna wakati ukipoteza mwenzio anapata na ukipata mwenzio anapoteza.
Hii ndio kanuni ya haki.

Tuache upotoshaji,ngoma ni mbichi ,ukishangilia ushindi mwenzio anahuzunika kushindwa ,jiandae kuhuzunika mwenzio atakaposhinda

Mpambano unaendelea tukutane siku zijazo kupeana mrejesho tena

Kinachotakiwa huko mahakamani sio kubalance adhabu kwamba leo kapata huyu hivyo kesho apate mwingine, hapo ndio mahakama hujikuta zikitumika kama ilivyo sasa. Kinachotakiwa ni haki kutendeka na ionekane ikitendeka. Kinyume na hapo huu ukweli wa mahakama kutumika utabaki palepale.
 
Hapa kilichofanyika ni geresha tunaitwa au changanya boya. Uamuzi wanao tayari ila ni suala la muda tu
 
Ni mbaya sana kufikiri kwamba, unaposhinda shauri lako ,mahakama imetenda haki, na unaposhindwa mahakama inaingiliwa.
Kuna wakati ukipoteza mwenzio anapata na ukipata mwenzio anapoteza.
Hii ndio kanuni ya haki.

Tuache upotoshaji,ngoma ni mbichi ,ukishangilia ushindi mwenzio anahuzunika kushindwa ,jiandae kuhuzunika mwenzio atakaposhinda

Mpambano unaendelea tukutane siku zijazo kupeana mrejesho tena
Serikali ingeshinda wangesema tulijipanga ndio maana tukapeleka mawakili 15 wasijua kuzungumza kiingereza
 
Kinachotakiwa huko mahakamani sio kubalance adhabu kwamba leo kapata huyu hivyo kesho apate mwingine, hapo ndio mahakama hujikuta zikitumika kama ilivyo sasa. Kinachotakiwa ni haki kutendeka na ionekane ikitendeka. Kinyume na hapo huu ukweli wa mahakama kutumika utabaki palepale.
Yes
 
Ni mbaya sana kufikiri kwamba, unaposhinda shauri lako ,mahakama imetenda haki, na unaposhindwa mahakama inaingiliwa.
Kuna wakati ukipoteza mwenzio anapata na ukipata mwenzio anapoteza.
Hii ndio kanuni ya haki.

Tuache upotoshaji,ngoma ni mbichi ,ukishangilia ushindi mwenzio anahuzunika kushindwa ,jiandae kuhuzunika mwenzio atakaposhinda

Mpambano unaendelea tukutane siku zijazo kupeana mrejesho tena
Ukweli mchungu
 
Ni mbaya sana kufikiri kwamba, unaposhinda shauri lako ,mahakama imetenda haki, na unaposhindwa mahakama inaingiliwa.
Kuna wakati ukipoteza mwenzio anapata na ukipata mwenzio anapoteza.
Hii ndio kanuni ya haki.

Tuache upotoshaji,ngoma ni mbichi ,ukishangilia ushindi mwenzio anahuzunika kushindwa ,jiandae kuhuzunika mwenzio atakaposhinda

Mpambano unaendelea tukutane siku zijazo kupeana mrejesho tena
MATAGA bado mnabweka tu.
 
Back
Top Bottom