Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Ukisafiri kwa basi toka mbeya kuja dsm kuna kacheki point kameibuka kati ya kitonga na Ilula sijui jina la icho kijiji.
Cha kusahangaza basi linaingia yule mfungua kamba analushiwa ela juu kwa juu basi linaondoka!
Jamani sasa kama kila kitongoji kitaamua kufungua maeneo kama hayo eti kwa mgongo wa kukusanya mapato hamuoni mwawapotezea mda wasafiri isitoshe amelipa alikotoka mwenye basi na anakoenda atalipa pia umu njiani ni kupotezeana wakati.
Tuache kuwa na mawazo mgando come up with other altenatives za kubeef up makusanyo!Yameanza na wizara ya fedha naona mpaka chini wanacopy na kupaste vyanzo vya fedha
Cha kusahangaza basi linaingia yule mfungua kamba analushiwa ela juu kwa juu basi linaondoka!
Jamani sasa kama kila kitongoji kitaamua kufungua maeneo kama hayo eti kwa mgongo wa kukusanya mapato hamuoni mwawapotezea mda wasafiri isitoshe amelipa alikotoka mwenye basi na anakoenda atalipa pia umu njiani ni kupotezeana wakati.
Tuache kuwa na mawazo mgando come up with other altenatives za kubeef up makusanyo!Yameanza na wizara ya fedha naona mpaka chini wanacopy na kupaste vyanzo vya fedha