Mimi ni mwanafunzi katika chuo flani cha afya,hapa tanzania nikisomea kozi ya nursing niko mwaka wa pili,je kuna uwezekano wa kumaliza unesi na kujiendeleza kuchukua kozi nyingine kama vile medical doctor,
Au pharmacy?
Majibu yenu tafadhali
Kwa system ilivyo sasahivi na competition ktk kozi hizo mbili ya Pharmacy na MD, uwezekano wa kupata ni ngumu sana coz kuna watu wanadiploma za pharmacy au CO karibia miaka 4 wanaomba kujiendeleza na degree zao wanakosa nafasi mpaka wanabadilisha kozi ndo wanapata sembuse ww mwenye diploma ya nursing anyway unless ujiendeleze na degree ya hiyo hiyo Nursing au kozi zingine za Afya ukizitoa hizo mbili hapo juu, koz zingine kama Environmental health, ukatibu wa afya na nyinginezo related na afya preferably au nje ya afya ni possible kupata kiurahisi.
Mimi ni mwanafunzi katika chuo flani cha afya,hapa tanzania nikisomea kozi ya nursing niko mwaka wa pili,je kuna uwezekano wa kumaliza unesi na kujiendeleza kuchukua kozi nyingine kama vile medical doctor,
Au pharmacy?
Majibu yenu tafadhali
Mimi ni mwanafunzi katika chuo flani cha afya,hapa tanzania nikisomea kozi ya nursing niko mwaka wa pili,je kuna uwezekano wa kumaliza unesi na kujiendeleza kuchukua kozi nyingine kama vile medical doctor,
Au pharmacy?
Majibu yenu tafadhali
Kwa Tanzania haiwezekani unaweza soma bachelor of nursing au midwifery au nursing anesthesia ipo muhas au ukasoma environmental health pia health information systems Hila haiwezekani kuhamia stream ya medicine au pharmacy ila kwa Kenya ingewezekana
Kama ni diploma haiwezekani..ingekua degree ingewezekana. Ila kwa Tanzania japo nje ya Tanzania inawezekana. Kuna jamaa yangu alikua na Diploma ya masuala ya macho akataka kuchukua bachelor ya environmental health.. Akaenda kuulizia TCU wakamkatalia ..Sasa hivi yupo Uganda anasoma Makerer e bachelor ya Afya nyengine
Kama ni diploma haiwezekani..ingekua degree ingewezekana. Ila kwa Tanzania japo nje ya Tanzania inawezekana. Kuna jamaa yangu alikua na Diploma ya masuala ya macho akataka kuchukua bachelor ya environmental health.. Akaenda kuulizia TCU wakamkatalia ..Sasa hivi yupo Uganda anasoma Makerer e bachelor ya Afya nyengine