Hapana tukutuku hilo lafaa kuwa vazi la Taifa kwasababu lina rangi za bendera ya Taifa, inaonyesha unachuki binafsi na chama chetu, kilicho fanikiwa kusimamia amani hii tunayojivunia, mambo ya ufisadi achana nayo ni vitu vidogo tuu, ufisadi kitu gani bana