Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,124
- 19,718
wakuu wiki tatu Sasa nyumba haikaliki ni kelele zisizo na mwisho
Uzuri mimi ni mumini mzuri wa tiba asilia hivyo nikaona nilitafutie hili uvumbuzi kiasili tena kienyeji kabisaa.
Nisiwe na maneno mengi japo sijalifahamu jina la jani hili ila nimefanikiwa kusanuliwa na mzee mmoja na kunambia hii Ni kiboko ya tatizo.
Kirahisi tuuh unaosha nakusaga kupata juice unampa ka kijiko tuuh mara mbili kwa siku
NB taratibu zote kitalamu za kuzuia chango nimezifuata ikiwa pamoja na kuhakiki mama anamcheulisha kila anapo maliza kunyonya,mkao mzuri wakati wa kumyonyesha ,kumkanda tumbo kwa mafuta kumsaidia kujisaidia nk
Pia nimefanikiwa kuambiwa mafuta ya samaki husaidia japo haimalizi tatizo.
Huu mmea huota maeneo ya maji Kama kwenye mito, chemichemi, maporomoko yamaji n.k.
Kifupi maeneo ya unyevunyevu midhili ya tindiga.
Uzuri mimi ni mumini mzuri wa tiba asilia hivyo nikaona nilitafutie hili uvumbuzi kiasili tena kienyeji kabisaa.
Nisiwe na maneno mengi japo sijalifahamu jina la jani hili ila nimefanikiwa kusanuliwa na mzee mmoja na kunambia hii Ni kiboko ya tatizo.
Kirahisi tuuh unaosha nakusaga kupata juice unampa ka kijiko tuuh mara mbili kwa siku
NB taratibu zote kitalamu za kuzuia chango nimezifuata ikiwa pamoja na kuhakiki mama anamcheulisha kila anapo maliza kunyonya,mkao mzuri wakati wa kumyonyesha ,kumkanda tumbo kwa mafuta kumsaidia kujisaidia nk
Pia nimefanikiwa kuambiwa mafuta ya samaki husaidia japo haimalizi tatizo.
Huu mmea huota maeneo ya maji Kama kwenye mito, chemichemi, maporomoko yamaji n.k.
Kifupi maeneo ya unyevunyevu midhili ya tindiga.