Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,515
Kama week mbili tatu hivi nlikuwa na safari sehemu mbali mbali.Nlienda Uk kikazi nikaenda USA na kurudi SA kabla sijaingia TZ last week.
Leo nlikuwa maeneo Flan pale Carwash nmepark nliona nikaoshe BMW Maana kipindi chote sipo ilikuwa imepark tu. Nikasema nikanunua voucher duka la karibu mbili ya Voda 10,000 na Tigo 20,000. Muuzaji akanipa voucher kaniwekea kwenye mfuko.
Sasa sielewi namwona mteja mwingine kiberiti anawekewa kwenye mfuko wake, sabuni mfuko mwingine na dawa ya meno mfuko wake.yaani hivyo vitu vitatu mifuko mitatu tofauti. Hii customer service/care imenishangaza sana.
Ina maana wateja ndo wanabebembelezwa hivi? jamani hadi voucher inawekwa kwenye mfuko? Tunakoelekea sasa hadi chewing gums zitawekwa kwenye mifuko.anyway nlimwambia naweka muda huo huo akasema hamna shida nitumie tu mfuko hata kwa matumizi ya baadaye.
Leo nlikuwa maeneo Flan pale Carwash nmepark nliona nikaoshe BMW Maana kipindi chote sipo ilikuwa imepark tu. Nikasema nikanunua voucher duka la karibu mbili ya Voda 10,000 na Tigo 20,000. Muuzaji akanipa voucher kaniwekea kwenye mfuko.
Sasa sielewi namwona mteja mwingine kiberiti anawekewa kwenye mfuko wake, sabuni mfuko mwingine na dawa ya meno mfuko wake.yaani hivyo vitu vitatu mifuko mitatu tofauti. Hii customer service/care imenishangaza sana.
Ina maana wateja ndo wanabebembelezwa hivi? jamani hadi voucher inawekwa kwenye mfuko? Tunakoelekea sasa hadi chewing gums zitawekwa kwenye mifuko.anyway nlimwambia naweka muda huo huo akasema hamna shida nitumie tu mfuko hata kwa matumizi ya baadaye.