KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,320
Unajua Tanzania Ingekuwa Nchi nyingine basi Mda huu tungekuwa Tunasikiliza milio ya mitutu kama miziki na huku tukishuhudia samu za watu kila kona kama machinga pale stand ya k/koo.
Hakuna Kiongozi Atakayejisifu Kuwa Anasimamia Amani Tanzania ama Kaiweka Amani Tanzania.
NARUDIA TENA HAKUNA KIONGOZI ANAYEPASWA KUJISIFU KUWA ANASIMAMIA AMANI TANZANIA.
Maana viongozi wao ndio wanakuwa wakwanza kuvunja amani kwa namna ya Uongozi wao
Tumshukuru Mungu Kwa kuweka Tanzania Ya Wakristo Walioshika Dini Na Waisilamu Walioshika Dini.
Tukiona Serikali Inavyotuzungusha Yaani Tukiwaza vitabu Vyetu Vitakatifu Basi Tunafumba Macho Na Kuvumilia Yote.
Kiongozi Wewe Unayesema Unasimamia Amani TANZANIA nakuambia KWeli Watanzania TUna Hofu Ya MUngu Ndio Maana Tunatulia Ila Hauna Hata Chembe Ya Kusimamia Amani.
Kuamua Kufa Kwa Ajili Ya Nchi Yetu Inawezekana Kabisa Ila Tunawaza Mungu Anatuusi Tuishi Kwa Amani.
Watanzaia Wenzangu Na Tuzidi Kushika Dini Zetu Ili Tuitunze Amani Yetu Zaidi Na Zaidi, Amani Yetu NI Sisi WEnyewe Tulio Nayo Wala Sio Kiongozi Yeyote maana Tukiasema Tutakufa Kwa Ajili Ya Nchi Yetu. Hata Kwa Mitutu Ya Bunduki Hakuna Wa Kutusimamisha.
Viongozi Wanatupoteza sisi wenyewe na hawajui damu za watu wasio na hatia zinatutia kichefu chefu NA Hawajui Zinaweza Kututapisha Na Wajifanya Wansimamia Amani.
Kwakweli Amani Tunayo Sisi Wenyewe Wananchi Kwakuwa Tunahofu Ya MUNGU Na WAla Hatuna hofu ya Kiongozi Hata Akiwa anatuchinja usiku kama kuku wake waliobandani.
Amani Yetu Tanzania Tunayo Sisi Wenyewe Wananchi Tuzidi Kumcha Mungu Kwa Dini Zetu Zote Ili TUzidi Kudumu Katika Amani Yetu.
AMANI YA TANZANIA INASIMAMIWA NA WATANZNIA WENYWE NA WALA SI KIONGOZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE NA UWASAMEHE VIONGOZI WANAOONA SISI WATANZANIA NI SAWA NI KUKU ZAO TENA ZILE BLOILER
Hakuna Kiongozi Atakayejisifu Kuwa Anasimamia Amani Tanzania ama Kaiweka Amani Tanzania.
NARUDIA TENA HAKUNA KIONGOZI ANAYEPASWA KUJISIFU KUWA ANASIMAMIA AMANI TANZANIA.
Maana viongozi wao ndio wanakuwa wakwanza kuvunja amani kwa namna ya Uongozi wao
Tumshukuru Mungu Kwa kuweka Tanzania Ya Wakristo Walioshika Dini Na Waisilamu Walioshika Dini.
Tukiona Serikali Inavyotuzungusha Yaani Tukiwaza vitabu Vyetu Vitakatifu Basi Tunafumba Macho Na Kuvumilia Yote.
Kiongozi Wewe Unayesema Unasimamia Amani TANZANIA nakuambia KWeli Watanzania TUna Hofu Ya MUngu Ndio Maana Tunatulia Ila Hauna Hata Chembe Ya Kusimamia Amani.
Kuamua Kufa Kwa Ajili Ya Nchi Yetu Inawezekana Kabisa Ila Tunawaza Mungu Anatuusi Tuishi Kwa Amani.
Watanzaia Wenzangu Na Tuzidi Kushika Dini Zetu Ili Tuitunze Amani Yetu Zaidi Na Zaidi, Amani Yetu NI Sisi WEnyewe Tulio Nayo Wala Sio Kiongozi Yeyote maana Tukiasema Tutakufa Kwa Ajili Ya Nchi Yetu. Hata Kwa Mitutu Ya Bunduki Hakuna Wa Kutusimamisha.
Viongozi Wanatupoteza sisi wenyewe na hawajui damu za watu wasio na hatia zinatutia kichefu chefu NA Hawajui Zinaweza Kututapisha Na Wajifanya Wansimamia Amani.
Kwakweli Amani Tunayo Sisi Wenyewe Wananchi Kwakuwa Tunahofu Ya MUNGU Na WAla Hatuna hofu ya Kiongozi Hata Akiwa anatuchinja usiku kama kuku wake waliobandani.
Amani Yetu Tanzania Tunayo Sisi Wenyewe Wananchi Tuzidi Kumcha Mungu Kwa Dini Zetu Zote Ili TUzidi Kudumu Katika Amani Yetu.
AMANI YA TANZANIA INASIMAMIWA NA WATANZNIA WENYWE NA WALA SI KIONGOZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE NA UWASAMEHE VIONGOZI WANAOONA SISI WATANZANIA NI SAWA NI KUKU ZAO TENA ZILE BLOILER