Gwakisa huyu aliyezunguka na dr. Slaa nchi nzima kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 leo anaonekana takataka kweli kazi ipo
Gwakisa huyu aliyezunguka na dr. Slaa nchi nzima kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 leo anaonekana takataka kweli kazi ipo
Unyanga hahaha tuweke siasa pembeni huyu gwakisa namfaamu in personal hana akili nzuri, ni mgomvi sana, anapenda visasi, he is capable of doin any thing, he is violent. Sijawahi kumkubali. Sasahivi karudia chuo, ni mwaka wa pili sasa, and he was supposed to complete his studies toka 2007
Kwani kuzunguka nchi nzima ni direct ticket ya kufanya lolote.Hivi watanzania mbona tuna akili nyembamba kiasi hiki?
Kwa upande wa KURUDIA CHUO hiyo ni jadi ya BAVICHA,hata chuo fulani kipo mjini sana pale Dar,kuna kijana yy ni kurudia tu miaka,mpaka wadog zake wanampita,last time aligombea urais,ila GPA ikambana,japo ana ushawishi mkubwa sana kwa vijana wa hicho chu
Siku Ya 09/12/2013 Kulikuwa Na Kongamano La Bavicha Miaka 52 Ya Uhuru Pale Landmark
moja Ya Mambo Yaliyotokea Ni Suala La Ludovick Rwezaura Kudhitiwa Asikimbie Na Gwakisa Kuondolewa Kwa Nguvu.
1. Redbrigade Hawakujua Kama Ni Ludovick Ila Waliona Mtu Anajificha Chooni Na Kisha Kuchomoka Kwa Kasi Akikimbia Kutoka Ukumbini{mtakumbuka Hata Mrushaji Wa Bomu Arusha Alitumia Staili Hii}, Ndipo Vijana Wa Ulinzi Bila Kuchelea Wakamkimbiza Na Kumkamata Kisha Alipojieleza Wakamwachia Na Wala Hakuibiwa Kama Alivyodanganya.
2. Gwakisa Mwakasendo Alihisiwa Kutokua 'Mtu Mzuri Kwani Aliingia Getini Na Kisha Kujibanza Ukutani Alipomuona Lema Anakuja Upande Wake{nje Ya Ukumbi} Kisaha Akajibanza Tena Ukutani Alipomuona John Heche, Alaf Akawauliza Watu Bila Kujua Kuwa Ni Redbrigade 'henry Kilewo Yuko Wapi? Aliposhikwa Mkono Apelekwe Alipo Kilewo Akakataa Na Kuanza Kutoa Lugha Chafu{sina Uhakika Kama Alikuwa Amelewa} Ndipo Kwa Haraka Sana Redbrigade Chini Ya Mwanadada Mmoja Imara Na Kiongozi Wa Redbrigade Kawe Wakamuondosha Nje.
utetezi wake ni kama yule aliyejiunga na CDM toka akiwa na miaka 16..SO anajiona kama kazaliwa nayo kwahiyo asiguswe!!Kwani kuzunguka nchi nzima ni direct ticket ya kufanya lolote.Hivi watanzania mbona tuna akili nyembamba kiasi hiki?
Kwani kuzunguka nchi nzima ni direct ticket ya kufanya lolote.Hivi watanzania mbona tuna akili nyembamba kiasi hiki?
Siku Ya 09/12/2013 Kulikuwa Na Kongamano La Bavicha Miaka 52 Ya Uhuru Pale Landmark.
Moja Ya Mambo Yaliyotokea Ni Suala La Ludovick Rwezaura Kudhitiwa Asikimbie Na Gwakisa Kuondolewa Kwa Nguvu.
1. Redbrigade Hawakujua Kama Ni Ludovick Ila Waliona Mtu Anajificha Chooni Na Kisha Kuchomoka Kwa Kasi Akikimbia Kutoka Ukumbini{mtakumbuka Hata Mrushaji Wa Bomu Arusha Alitumia Staili Hii}, Ndipo Vijana Wa Ulinzi Bila Kuchelea Wakamkimbiza Na Kumkamata Kisha Alipojieleza Wakamwachia Na Wala Hakuibiwa Kama Alivyodanganya.
2. Gwakisa Mwakasendo Alihisiwa Kutokua 'Mtu Mzuri Kwani Aliingia Getini Na Kisha Kujibanza Ukutani Alipomuona Lema Anakuja Upande Wake{nje Ya Ukumbi} Kisaha Akajibanza Tena Ukutani Alipomuona John Heche, Alaf Akawauliza Watu Bila Kujua Kuwa Ni Redbrigade 'henry Kilewo Yuko Wapi? Aliposhikwa Mkono Apelekwe Alipo Kilewo Akakataa Na Kuanza Kutoa Lugha Chafu{sina Uhakika Kama Alikuwa Amelewa} Ndipo Kwa Haraka Sana Redbrigade Chini Ya Mwanadada Mmoja Imara Na Kiongozi Wa Redbrigade Kawe Wakamuondosha Nje.