Siku Ya 09/12/2013 Kulikuwa Na Kongamano La Bavicha Miaka 52 Ya Uhuru Pale Landmark.
Moja Ya Mambo Yaliyotokea Ni Suala La Ludovick Rwezaura Kudhitiwa Asikimbie Na Gwakisa Kuondolewa Kwa Nguvu.
1. Redbrigade Hawakujua Kama Ni Ludovick Ila Waliona Mtu Anajificha Chooni Na Kisha Kuchomoka Kwa Kasi Akikimbia Kutoka Ukumbini{mtakumbuka Hata Mrushaji Wa Bomu Arusha Alitumia Staili Hii}, Ndipo Vijana Wa Ulinzi Bila Kuchelea Wakamkimbiza Na Kumkamata Kisha Alipojieleza Wakamwachia Na Wala Hakuibiwa Kama Alivyodanganya.
2. Gwakisa Mwakasendo Alihisiwa Kutokua 'Mtu Mzuri Kwani Aliingia Getini Na Kisha Kujibanza Ukutani Alipomuona Lema Anakuja Upande Wake{nje Ya Ukumbi} Kisaha Akajibanza Tena Ukutani Alipomuona John Heche, Alaf Akawauliza Watu Bila Kujua Kuwa Ni Redbrigade 'henry Kilewo Yuko Wapi? Aliposhikwa Mkono Apelekwe Alipo Kilewo Akakataa Na Kuanza Kutoa Lugha Chafu{sina Uhakika Kama Alikuwa Amelewa} Ndipo Kwa Haraka Sana Redbrigade Chini Ya Mwanadada Mmoja Imara Na Kiongozi Wa Redbrigade Kawe Wakamuondosha Nje.
Moja Ya Mambo Yaliyotokea Ni Suala La Ludovick Rwezaura Kudhitiwa Asikimbie Na Gwakisa Kuondolewa Kwa Nguvu.
1. Redbrigade Hawakujua Kama Ni Ludovick Ila Waliona Mtu Anajificha Chooni Na Kisha Kuchomoka Kwa Kasi Akikimbia Kutoka Ukumbini{mtakumbuka Hata Mrushaji Wa Bomu Arusha Alitumia Staili Hii}, Ndipo Vijana Wa Ulinzi Bila Kuchelea Wakamkimbiza Na Kumkamata Kisha Alipojieleza Wakamwachia Na Wala Hakuibiwa Kama Alivyodanganya.
2. Gwakisa Mwakasendo Alihisiwa Kutokua 'Mtu Mzuri Kwani Aliingia Getini Na Kisha Kujibanza Ukutani Alipomuona Lema Anakuja Upande Wake{nje Ya Ukumbi} Kisaha Akajibanza Tena Ukutani Alipomuona John Heche, Alaf Akawauliza Watu Bila Kujua Kuwa Ni Redbrigade 'henry Kilewo Yuko Wapi? Aliposhikwa Mkono Apelekwe Alipo Kilewo Akakataa Na Kuanza Kutoa Lugha Chafu{sina Uhakika Kama Alikuwa Amelewa} Ndipo Kwa Haraka Sana Redbrigade Chini Ya Mwanadada Mmoja Imara Na Kiongozi Wa Redbrigade Kawe Wakamuondosha Nje.