nasikia kimeuzwa kwa watu fulan hiv, kama vile nilisikia lema akisema kuna watu wanheshimiana sana lakin heshima zao zitashuka km wataendelea na huo mtindo wao wa kujenga kwenye maeneo ya wazi , yy yupo tayari kukosana nao, inawezekana na hilo eneo la skul lahusika