EMMANUEL NCHILU
Member
- May 29, 2016
- 34
- 12
Hiii bima ya afya imekuwa changamoto saana.
waziri wa afya itabidi afanye jitihada watoto wetu kusaidiwa.
waziri wa afya itabidi afanye jitihada watoto wetu kusaidiwa.
Kuna mtu alimkatia bibi yake bima kwa niaba ya mzazi wake kwakuwa mzazi wake ni mtumishi wa umma; na huyo bibi amekuwa akiitumia bima hiyo tangu 2012. Kufikia July 2023, bima imesitishwa kwa kigezo kwamba muhusika sio mzazi wa mnufaika ambaye ni mwajiriwa wa serikali.Hiii bima ya afya imekuwa changamoto saana
waziri wa afya itabidi afanye jitihada watoto wetu kusaidiwa
View attachment 2759670View attachment 2759671
Hii imemtokea mzee wangu.Kuna mtu alimkatia bibi yake bima kwa niaba ya mzazi wake kwakuwa mzazi wake ni mtumishi wa umma; na huyo bibi amekuwa akiitumia bima hiyo tangu 2012. Kufikia July 2023, bima imesitishwa kwa kigezo kwamba muhusika sio mzazi wa mnufaika ambaye ni mwajiriwa wa serikali.
Na huyo mnufaika anakatwa kila mwezi, na hana mtegemezi mwingine zaidi ya huyo mmoja tu kati ya idadi inayotakiwa ya watu wasiozidi sita. Mbaya zaidi huyo bibi yake ni mzee na anahitaji huduma ya afya! Cha ajabu hiyo siku husika waliwafukuza wote waliokuwa na changamoto kama yake pasipo hata kupewa huduma ya afya! Inaumiza sana!
Sijui wanataka wazee na watoto wafe mapema??? Inauma sanaaa! Basi tu hakuna namna!