nkungu mwere
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 258
- 336
Enyi mlioteuliwa na ambao mko kazini (hamkutumbuliwa)hii ni siri na msimwambie mtu,,,ukiteuliwa usithubutu kumkosoa au kumsema MEKO kwa njia ya ujumbe wa RUNUNU au mawasiliano ya RUNUNU,tena kama mnatumia mtandao fulani basi jiepusheni na kumkosoa hata anapokosea
Yaani ikiwezekana no yako ya RUNUNU unayotumia iwe ni ya kumsifu tu hata kwa sms. Yaani jifanye unamtumia mteuliwa mwenzako ujumbe ukimsifia MEKO hapo kama ulikuwa CD (geuza herufi) lazima uwe CR (geuza herufi)kama u hosen bhashe lazima uwe jafet hashunga,ole wako umwite mshamba kwenye rununu yako fahamu wasiojulikana watamwambia nawe utakuwa elifayo kudata,(japo yeye kashtuka)ndio maana anatumbuliwa na kuteuliwa.
Hivyo wateuliwa mliobaki msiziamini RUNUNU zenu hizo, ukiona mtu katumbuliwa jua RUNUNU pia imehusika.
Yaani ikiwezekana no yako ya RUNUNU unayotumia iwe ni ya kumsifu tu hata kwa sms. Yaani jifanye unamtumia mteuliwa mwenzako ujumbe ukimsifia MEKO hapo kama ulikuwa CD (geuza herufi) lazima uwe CR (geuza herufi)kama u hosen bhashe lazima uwe jafet hashunga,ole wako umwite mshamba kwenye rununu yako fahamu wasiojulikana watamwambia nawe utakuwa elifayo kudata,(japo yeye kashtuka)ndio maana anatumbuliwa na kuteuliwa.
Hivyo wateuliwa mliobaki msiziamini RUNUNU zenu hizo, ukiona mtu katumbuliwa jua RUNUNU pia imehusika.