Hii tabia watu wanaitoa wapi?

Hii tabia watu wanaitoa wapi?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,704
Reaction score
7,409
Halo JF.
Habari za pilika za hapa na pale. Niende madani.

Kuna watu kadhaa nimekuwa nikiongeanao vizuri tu ila sio marafiki sana kivile. Cha ajabu inakuja kutokea huyo mtu hakusalimii wala hafurahii uwepo wako mahali alipo. Ukimsalimia anaitika kinyonge au sauti ya chini bila kujua sababu ni nini.

Unabaki unasema huyu hatujagombana, sijamsema vibaya popote na wala kumtenda. Mbona wamenitenga au kanitenga ghafula? Hii pia yaweza kijumuisha marafiki wa jinsia zote ninaokutananao.

Humu JF kuna wajuvi wengi wa masuala mengi ya kidunia au kijamii, naombeni msaada wenu. Hii hali imenikumba sana ktk maeneo niliyoishi ktk usakaji wa maisha.

Natanguliza asante yangu kwenu kwa ushauri mzuri. Angalizo Mimi sio tajiri, wala siringi, ni muongeaji wa wastani, pia nina huruma sana, huwezi kuniomba kitu au kunikopa na ninacho alafu nikunyime.
 
Sio lazima uwe na ukaribu na kila mtu.

Dunia ina watu zaidi ya 7B.

Mtu kama kaona hana sababu yoyote ya kuwa na ukaribu na wewe usilazimishe kwasababu kuna watu huwa siyo rahisi kuzoea zoea watu bila sababu. Mazoea hujengeka taratibu kama kuna sababu ya kufanya hivyo.
 
Sio lazima uwe na ukaribu na kila mtu.

Dunia ina watu zaidi ya 7B.

Mtu kama kaona hana sababu yoyote ya kuwa na ukaribu na wewe usilazimishe kwasababu kuna watu huwa siyo rahisi kuzoea zoea watu bila sababu. Mazoea hujengeka taratibu kama kuna sababu ya kufanya hivyo.
Ok
 
Kuna sababu mbali mbali.
Ya Kwanza inaweza kuwa uko too busy sasa hutokea hao watu ukawa unawapita bila we kujua na wao wakatafsiri dharau au maringo..
Mimi hutokea sana hii
Mtu anaweza hata nisalimia nisimsikie..

Kingine inawezekana Una reputation Fulani imesambaa kuwa labda unaringa au majivuno sasa watu wanakuchangamkia kabla hawajasikia lolote ..wakishasikia wanaamua kuamini Tu bila kukupa nafasi ya kuthibitisha vinginenevyo..
Hiyo pia hutokea
 
Utakuwa mgeni mtaani na wana wasiwasi utawatombea wake zao au dada zao. It takes time, wakijiridhisha kwamba huna tabia mbaya watakuchangamkia tu.
 
Back
Top Bottom