Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,109
- 34,066
Hahaha...Huyu si nanii huyuNajaribu kufikiria I'd yako ya zamani
Hahaha...Huyu si nanii huyuNajaribu kufikiria I'd yako ya zamani
MIT. :23:13
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
MIT. :22:15
Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.
Azabu - Adhabu
Nauza nyege na mkoani natuma
Kg 1 kwa elf 50
Najaribu kufikiria I'd yako ya zamani
Huyu ni Zero Iq mwingine!
Senior Member
Joined Jun 25, 2019
kasi yako si mchezo...
huyo ndo senior junior
Nani...Hahaha...Huyu si nanii huyu
Haha ha ha!!! kipepee ktk ubora wake yaani its comrade again
Smart guy
Nakuona nakuona Mr kipepeeOhhhhooooo maorange iz in house yooooo
Nakuona nakuona Mr kipepee
Smart guy
hapo mwishoni unaua kabisaWayaaaaaaa
Mimi yuleeeeeee kama mshale
hapo mwishoni unaua kabisa
Smart guy
Unauzaje? Nahitaji bei
Mleta mada ungekua karibu, majirani wangesikia"TOCHOOO"
Nimesoma kwa umakini ila ulivyomalizia mkuu umeniacha hoi,ukayeyuka Kama barafu vil!!!Jina: kipepe comrade Kipepe
Kazi: Mfanyabiashara
Nickname: JUNGLE MASTER
Mbele ya upeo wa macho yako, nikiwa Nina masikitiko makubwaaa, aseeee!!
Ebanaaae mida hii wakati natoka mishe zangu nikiwa karibu na home Mara naskiaa "uuwiii! Uwiiii! Uwiiii!"
Duhh!
Nikaona niwahi chapuuuu kufika kumbe ni nyumba ya jirani pale watu wamejaa njeee kibaooo, nikauliza kunanii wananiambia huko ndani baba sofi anampiga sofi kipigo cha mbwa mwizi baada ya sofi kuchelewa kurudi nyumbanii...
Ikasikika sauti ya mama sofii;
"baba sofiaaa unaniuliaa mwananguuu!!!! Majiraniii"!"
Ohooooo Mara nikasikia TOCHOOOOOO!!!
Asee Mara Sofia katoka analia huku jicho moja limeivaa kama nyanyaaa, kumbe ile "TOCHOOOOO!!!!" ni ngumi ya jicho alipigwa na baba yakeee!
Duh ndio wamama wanampeleka hospitali hapaa dogo analiaaa mbayaaa
Baba sofi kazingua hiii adhabu gani sasaaaa!
******
WAZAZI TUANGALIE NA AZABU ZA KUWAPA WATOTO
Mimi shaaaaaaaaaaa!!!!
Kama mshaleeeeeee
Wayaaaaaaaaa!
KING OF THE JUNGLE!!!
Yuleeeeee