Hii ni sahihi?

Hii ni sahihi?

CDO

Member
Joined
Mar 8, 2013
Posts
11
Reaction score
1
Imagine kuwa umekwenda mitaa flan kutembea,suddenly unakutana na your lover(ww ni mvulana)ukamsalimia,kama kawaida ukambusu kwenye lips,wakati unambusu kumbe dadako wewe alikuwa anapita,dadako akatabasamu kwa kukuona unamkiss wifie(japo hujamtambulisha).Sasa ww ulivyoona dada katabasamu ukaongeza busu jingine kwa kujipa kichwa mbele ya dadako,sister hakusema kitu bali akaondoka kimyaaa.
Je? Siku ukimkuta dadako nae kakumbatiwa na jamaa,alivyokuona tu akalipiga busu jamaa kwa kujipa kichwa kwako kama ww ulivyofanya cku zileeee!..Hapo utasema umedharauliwa au utafurahi na kukeep silence kama yy alivyochuna cku zileeee?
 
Kama dada yangu ni mtu mzima na siyo mwanafunzi hakuna tatizo lolote kwangu, kwani kila mtu anamaisha yake, halafu imetokea tu kitaani nimemkuta dada ananyonywa mate, haikupangwa, kwa hiyo sioni tatizo hapo.
 
namuacha ajienjoy na jamaa....baadae naja kumueleza wanaume ni kama mzabzab so be careful
 
Kama dada yangu ni mtu mzima na siyo mwanafunzi hakuna tatizo lolote kwangu, kwani kila mtu anamaisha yake, halafu imetokea tu kitaani nimemkuta dada ananyonywa mate, haikupangwa, kwa hiyo sioni tatizo hapo.

Mh!!.kama ni mwanafunzi nawe pia ni mwanafunzi hapo itakuwaje? Hii ipo sana jamani,huyu jamaa kaiona
 
Mh!!.kama ni mwanafunzi nawe pia ni mwanafunzi hapo itakuwaje? Hii ipo sana jamani,huyu jamaa kaiona

nitafanya kama alivyofanya mzabzab hapo juu, asiposikia nitamuacha na kuongeza juhudi zaidi ktk masomo yangu, kwani baadaye najua tu atakuwa anasumbua kuhusu kumsaidia kuvitunza vimjomba, si unajua hawa dada zetu siku zote huwa hawasikii, na haswa akipata mtaalamu wa ngono.
 
najinyoosha ntarudi.:nono::nono:hakuna kaka anaeweza kumuona dada yake analiwa uroda(kupigwa mabusu)hadharani akamwacha tena akiwa kakuzidi utachezea kichapo utadhani ye mgeni ktk mji wa kanani.
 
Mla vya wenzie naye huliwa so hakuna wa kumlaumu mwenzie
 
Imagine kuwa umekwenda mitaa flan kutembea,suddenly unakutana na your lover(ww ni mvulana)ukamsalimia,kama kawaida ukambusu kwenye lips,wakati unambusu kumbe dadako wewe alikuwa anapita,dadako akatabasamu kwa kukuona unamkiss wifie(japo hujamtambulisha).Sasa ww ulivyoona dada katabasamu ukaongeza busu jingine kwa kujipa kichwa mbele ya dadako,sister hakusema kitu bali akaondoka kimyaaa.
Je? Siku ukimkuta dadako nae kakumbatiwa na jamaa,alivyokuona tu akalipiga busu jamaa kwa kujipa kichwa kwako kama ww ulivyofanya cku zileeee!..Hapo utasema umedharauliwa au utafurahi na kukeep silence kama yy alivyochuna cku zileeee?

Tatizo lako unataka um-control dada yako kama vike mkeo utafikiri wote unawabanjua.... Kwani hujui kuwa dada yako naye anadendwa? nini kinashangaza kuona kitu unachojuwa kuwa huwa kinatokea? Au unamtamani dada yako?
 
Bra-J kuna wanafunzi watu wazima mfn wale wanaokula maQT au Private candidates!
au ni mwanafunzi lakini ameshavuka miaka 18, imekaaje hapo???:-*
Alaf huu ni ujinga tu kwanini mlane denda hadharani-kwani watu wengine hawahitaji kuheshimiwa?????

Kama dada yangu ni mtu mzima na siyo mwanafunzi hakuna tatizo lolote kwangu, kwani kila mtu anamaisha yake, halafu imetokea tu kitaani nimemkuta dada ananyonywa mate, haikupangwa, kwa hiyo sioni tatizo hapo.
 
Mh ntapita tu lkn nikirudi home namuweka kitimoto..
 
Bra-J kuna wanafunzi watu wazima mfn wale wanaokula maQT au Private candidates!
au ni mwanafunzi lakini ameshavuka miaka 18, imekaaje hapo???:-*
Alaf huu ni ujinga tu kwanini mlane denda hadharani-kwani watu wengine hawahitaji kuheshimiwa?????

nitafanya kama alivyoeleza mzabzab ktk koment ya 3 hapo juu.
 
Back
Top Bottom