acheni UjingaAnahusika kwa sababu ya wingi wa kontena au kwa kuwa anahusik kwa uzembe au ufhifu It does not make sense!
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia hili naomba anipe usahihi. JPM alizuru ofisi ya PM jana, leo PM -( hawavumi lakini wamo) akatinga bandarini akaibuka na issue, jioni mtu akatemwa na Dr Mapngo akapew kazi! Haya ni maigizo kama ya muhimbili? sijui yataisha lini.
exactly mkuu.Mkuu Inapofikia mahala pa utendaji ulio bora tunapaswa kuweka pembeni itikadi za vyama vyetu. Ukawa ipo kwasababu ya mabadiliko, Sasa kama Magufuli kaamua kuleta mabadiliko na tunaona harakati zake ni nzuri kwanini tusi msupport. Kama utendaji wako ni mbovu haita saidia kitu endapo utakuwa migongoni mwa vyama vya upindani wala CCM. Tunacho taka sisi ni watendaji wabovu wote ndani ya serikali kuwajibika. Itikadi za vyama tuweke pembeni. Tumsupport huyu bwana kwani kaanza vizuri.
Nimefuatilia swala la kashfa ya TRA leo iliyosababisha Kamishna wake Rished Bade kusimamishwa kazi na kukaimiwa/kuteuliwa ndugu Mpango Philip.
Hapa sileti siasa lakini timuatimua hii iangaliwe kwa jicho la tatu maana binadamu wote huwa na roho ya kisasi aidha kwa wema au ubaya.Sijasikia tume iliyoundwa kuchunguza mienendo na utendaji wa watumishi ktk nyanja kuu za serikali lakini timua timua inaendelea.
Je hizi taarifa anazofanyia kazi mh.zinapelekwa na watu waminifu au watu wa visasi?
Kama ni kweli kuna ukweli na yuko sahihi basi nafhani hata rais msitaafu wa juzi achunguzwe maana haiwezekani madudu yako jujuu inakuwaje hayakuonekana wakati alisifiwa kwa uongozi wake?
Rais wangu mh sana Dr Magufuli ni vema waleta taarifa nao ukawachunguza wasikuchonganishe na watumishi ukashindwa hata kumuamini hata mmoja mwisho wa siku ukakosa wa kukusaidia.Inawezekana Ukawa-Ccm ikawa inafanya kazi ukadhani wanakusaidia.Kwa kuwa watu tumeumbwa kila mmoja na Envy yaani wivu ni vizuri kuwa makini na taarifa kabla hujazifanyia kazi.
Nimekukubali kwa kasi na utendaji kama utaendelea na ongeza speed maana nchi ilipofikia inahitaji kiongozi mwenye busara na hekima pamoja na Udikteta wa kidemokrasia.
Pamoja na hayo ni vema ujawa makini na taarifa unazoletewa kabla ya kuzifanyia kaz maana naamini huzipati ghafla pale unaposhtukiza ila unakuwa na prio info zinazokusukuma kufanya maamuzi.
Isiwe safisha Ukawa maana inasemekana kuna watumishi waliotumia uhuru na demokrasia kumuunga mkono mgombea wanaomtaka wasivhukuliwe waasi bali wenye uhuru na nchi yao kama walioamua kuwa ccm.Kuwa ccm au Ukawa ni maamuzi ya mtu na haingiliwi katika kuchagua atakacho isipokuwa ubadhilifu.
Lakini kama wanawajibishwa kwa utovu wa nidhamu na ubafhilifu ni haki yao.
Maamuzi na taarifa unazotumia zisiwe na hata chembe ya Uchama wala siasa.maana hata wewe ni binadamu.
Kumbuka Ukawa wamesaidia kupatikana kwa taarifa za ubafhirifu mwingi na watu kuachia nyadhifa zao hvyo wanahitajika.Upinzani ni Watching dogs wa serikali yako na ukiweza usisite kuteua mawaziri wanaofaa ili wakusaifie ili serikali yako iondoe harufu ya uchama iwe ya watanzania wote.
Mungu akulinde akupe maisha marefu.
Mtoa mada mpuuzi
Nimefuatilia swala la kashfa ya TRA leo iliyosababisha Kamishna wake Rished Bade kusimamishwa kazi na kukaimiwa/kuteuliwa ndugu Mpango Philip.
Hapa sileti siasa lakini timuatimua hii iangaliwe kwa jicho la tatu maana binadamu wote huwa na roho ya kisasi aidha kwa wema au ubaya.Sijasikia tume iliyoundwa kuchunguza mienendo na utendaji wa watumishi ktk nyanja kuu za serikali lakini timua timua inaendelea.
Je hizi taarifa anazofanyia kazi mh.zinapelekwa na watu waminifu au watu wa visasi?
Kama ni kweli kuna ukweli na yuko sahihi basi nadhani hata Rais msitaafu wa juzi achunguzwe maana haiwezekani madudu yako jujuu inakuwaje hayakuonekana wakati alisifiwa kwa uongozi wake?
Rais wangu mh sana Dr Magufuli ni vema waleta taarifa nao ukawachunguza wasikuchonganishe na watumishi ukashindwa hata kumuamini hata mmoja mwisho wa siku ukakosa wa kukusaidia. Inawezekana UKAWA-CCM ikawa inafanya kazi ukadhani wanakusaidia. Kwa kuwa watu tumeumbwa kila mmoja na Envy yaani wivu ni vizuri kuwa makini na taarifa kabla hujazifanyia kazi.
Nimekukubali kwa kasi na utendaji kama utaendelea na ongeza speed maana nchi ilipofikia inahitaji kiongozi mwenye busara na hekima pamoja na Udikteta wa kidemokrasia.
Pamoja na hayo ni vema ukawa makini na taarifa unazoletewa kabla ya kuzifanyia kazi maana naamini huzipati ghafla pale unaposhtukiza ila unakuwa na prio info zinazokusukuma kufanya maamuzi.
Isiwe safisha UKAWA maana inasemekana kuna watumishi waliotumia uhuru na demokrasia kumuunga mkono mgombea wanaomtaka wasichukuliwe waasi bali wenye uhuru na nchi yao kama walioamua kuwa CCM. Kuwa CCM au UKAWA ni maamuzi ya mtu na haingiliwi katika kuchagua atakacho isipokuwa ubadhilifu.
Lakini kama wanawajibishwa kwa utovu wa nidhamu na ubadhilifu ni haki yao.
Maamuzi na taarifa unazotumia zisiwe na hata chembe ya Uchama wala siasa maana hata wewe ni binadamu.
Kumbuka UKAWA wamesaidia kupatikana kwa taarifa za ubadhirifu mwingi na watu kuachia nyadhifa zao hivyo wanahitajika. Upinzani ni Watching dogs wa serikali yako na ukiweza usisite kuteua mawaziri wanaofaa ili wakusaifie ili serikali yako iondoe harufu ya uchama iwe ya watanzania wote.
Mungu akulinde akupe maisha marefu.
Ameeen
Nimefuatilia swala la kashfa ya TRA leo iliyosababisha Kamishna wake Rished Bade kusimamishwa kazi na kukaimiwa/kuteuliwa ndugu Mpango Philip.
Hapa sileti siasa lakini timuatimua hii iangaliwe kwa jicho la tatu maana binadamu wote huwa na roho ya kisasi aidha kwa wema au ubaya.Sijasikia tume iliyoundwa kuchunguza mienendo na utendaji wa watumishi ktk nyanja kuu za serikali lakini timua timua inaendelea.
Je hizi taarifa anazofanyia kazi mh.zinapelekwa na watu waminifu au watu wa visasi?
Kama ni kweli kuna ukweli na yuko sahihi basi nadhani hata Rais msitaafu wa juzi achunguzwe maana haiwezekani madudu yako jujuu inakuwaje hayakuonekana wakati alisifiwa kwa uongozi wake?
Rais wangu mh sana Dr Magufuli ni vema waleta taarifa nao ukawachunguza wasikuchonganishe na watumishi ukashindwa hata kumuamini hata mmoja mwisho wa siku ukakosa wa kukusaidia. Inawezekana UKAWA-CCM ikawa inafanya kazi ukadhani wanakusaidia. Kwa kuwa watu tumeumbwa kila mmoja na Envy yaani wivu ni vizuri kuwa makini na taarifa kabla hujazifanyia kazi.
Nimekukubali kwa kasi na utendaji kama utaendelea na ongeza speed maana nchi ilipofikia inahitaji kiongozi mwenye busara na hekima pamoja na Udikteta wa kidemokrasia.
Pamoja na hayo ni vema ukawa makini na taarifa unazoletewa kabla ya kuzifanyia kazi maana naamini huzipati ghafla pale unaposhtukiza ila unakuwa na prio info zinazokusukuma kufanya maamuzi.
Isiwe safisha UKAWA maana inasemekana kuna watumishi waliotumia uhuru na demokrasia kumuunga mkono mgombea wanaomtaka wasichukuliwe waasi bali wenye uhuru na nchi yao kama walioamua kuwa CCM. Kuwa CCM au UKAWA ni maamuzi ya mtu na haingiliwi katika kuchagua atakacho isipokuwa ubadhilifu.
Lakini kama wanawajibishwa kwa utovu wa nidhamu na ubadhilifu ni haki yao.
Maamuzi na taarifa unazotumia zisiwe na hata chembe ya Uchama wala siasa maana hata wewe ni binadamu.
Kumbuka UKAWA wamesaidia kupatikana kwa taarifa za ubadhirifu mwingi na watu kuachia nyadhifa zao hivyo wanahitajika. Upinzani ni Watching dogs wa serikali yako na ukiweza usisite kuteua mawaziri wanaofaa ili wakusaifie ili serikali yako iondoe harufu ya uchama iwe ya watanzania wote.
Mungu akulinde akupe maisha marefu.
Hakuna hata mmoja TRA alie msafi, wote wizi. Na huyu kamishna ndio jambazi mkumbwa. Na kama alikua ukawa basi aongezewe miaka jela kama atashitakiwa.