Nilisahau simu bar, gelofrendi naye akapita hapo bar wakati anakuja kwangu, akawakuta washkaji niliowaacha hapo wako na simu yangu. Akaomba wampe aniletee, jamaa walimkatalia kata kata!! Ile simu ilikodiwa taxi mida ya saa tano hivi usiku. Kile kitendo gelofrendi alishindwa hata namna ya kukielewa