Asalaam aleikhum!!!
Kuna ndoto inanijia mfululizo siku ya tatu Leo!
Inasema eti Katika kuazimisha muungano, tutaisherekea makwetu Kwa kufanya usafi mtaani, pamoja na hayo ya usafi kuwepo kuna watu watapita huko huko mtaani kuhamasisha usafi pamoja kuonyesha ukakamavu!
Hiyo inafanyika ili kumfanya kila mwananchi aguswe na ajionee uimara Wa wapiganaji wetu!
Wakati ndoto hiyo ikiendelea nilinyanyua simu kumpigia ndugu yangu bahati mbaya hiyo siku nzima mtandao Wa simu yoyote haukuwa unapatikana! Pia nilijaribu kuingia mtandaoni simu ikaandika " saver not found".
Network haikupatikana kwenye simu hadi nilipozinduka usingizini!...
Wataalamu Wa ndoto nifafanulieni!!!
Naomba hii ndoto isiwe kweli kawasabu tutapotezana!!!!
Kuna ndoto inanijia mfululizo siku ya tatu Leo!
Inasema eti Katika kuazimisha muungano, tutaisherekea makwetu Kwa kufanya usafi mtaani, pamoja na hayo ya usafi kuwepo kuna watu watapita huko huko mtaani kuhamasisha usafi pamoja kuonyesha ukakamavu!
Hiyo inafanyika ili kumfanya kila mwananchi aguswe na ajionee uimara Wa wapiganaji wetu!
Wakati ndoto hiyo ikiendelea nilinyanyua simu kumpigia ndugu yangu bahati mbaya hiyo siku nzima mtandao Wa simu yoyote haukuwa unapatikana! Pia nilijaribu kuingia mtandaoni simu ikaandika " saver not found".
Network haikupatikana kwenye simu hadi nilipozinduka usingizini!...
Wataalamu Wa ndoto nifafanulieni!!!
Naomba hii ndoto isiwe kweli kawasabu tutapotezana!!!!