Hii nayo kali

sagemba

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2013
Posts
467
Reaction score
30
Jamaa alifumaniwa akakimbilia kwenye daladala akiwa uchi, konda akawa anamshangaa,jamaa akamuliza konda unanishangaa nini? Konda;, Sishangai uchi wako najiuliza nauli umeweka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…