Hii Kwa Wanaume ambao bado Hamjaoa

Hii Kwa Wanaume ambao bado Hamjaoa

msolopaganzi1954

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2018
Posts
763
Reaction score
379
....Ukweli ni kwamba wanaume wengi Wanaoa wanawake kwa kuwaonea Huruma, ili ni kosa kubwa Sana,.....Labda kwa sababu kamzalisha au kwa kadate nae muda mrefu, yaani ni Kama SYMPATHY
vile.Oa mwanamke kwa sababu unampenda na Si Huruma juu yake.
WANAUME TUNA HURUMA SANA, AMBAO MWISHONI UNA TUKOSTI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena tusiwahurumie kabisa kama vile wao wasivyokua na huruma na pochi zetu.

Maendeleo hayana chama
 
That will not be a true lov to marry a woman bacause you feel a mercifulness to her either way it'll be a wastefull marriage in your whole life.
 
Mkuu kweli umenena ila kama unaona kabsa huna malengo nae ni bora unamwambia kabsa ukweli kuwa m sitakuoa akae anajua kuwa uhusiano weni n dating tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli, lakini Bora ukawa mwaminifu ukamwambia ukweli, mfano unaweza ukakutana na mdada ana matatizo sana mfano kafiwa na wazazi wake Hana amani, ukamfariji wakati wote, akajisikia faraja na akazidi kukupenda na kutamani kuishi nawe, zaidi akakueleza nia yake ya kuishi nawe kama wapenzi, ukakubaliana naye na mkaishi hivo kwa mda mrefu, akazidi kujickia faraja mda wote,

Je unaanzaje kumwambia kuwa huna mpango naye unataka kwenda kwa mwingine?

Tuwe na Huruma sana wanaume, Bora kuwa wawazi
 
Mzee ww omba tu Mungu akupatie mtu sahihi kwa muda wote, maana wengine tunalia na kujuta.
 
Wakati una date nae hukua unampenda? Yaani unakaa na mtu siku zote kisha useme humpendi?? Itakua wendawazimu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wee unajua kupenda ama unasema tuu. Watu wanakaa kwa kuwa anauhakika wa papauchi bwana. Unajua kuwinda kunachukuwa muda...sasa kama umemkuta demu boya anagawa papuchi tuu kwa nini mwanawane usijigegedee tuu.

Kwanza kumbuka hajalazimishwa kuvua chupi...kwanaza wanapenda so wala mie mwanamke akisema anapotezewa muda sii muonei huruma. Ni ujinga wake mwenyewe. Kwanza kwa nini umvulie chupi mwanaume ambae sio mume wako..tuanze hapo kwanza.
 
Ni kweli, lakini Bora ukawa mwaminifu ukamwambia ukweli, mfano unaweza ukakutana na mdada ana matatizo sana mfano kafiwa na wazazi wake Hana amani, ukamfariji wakati wote, akajisikia faraja na akazidi kukupenda na kutamani kuishi nawe, zaidi akakueleza nia yake ya kuishi nawe kama wapenzi, ukakubaliana naye na mkaishi hivo kwa mda mrefu, akazidi kujickia faraja mda wote,

Je unaanzaje kumwambia kuwa huna mpango naye unataka kwenda kwa mwingine?

Tuwe na Huruma sana wanaume, Bora kuwa wawazi
Wee naona huwajui wanawake...usiwe na huruma kabisa...kumbuka wao ndio chanzo cha sie kuteseka hapa duniani. Usiwahurumie kabisa.

Pili kwani umemuweka mfungwa kama anashindwa kujiongeza sii ujinga wake mwenyewe. Mwanaume ndani ya miaka miwili maximum anaweka mke ndani ...wao miaka mitatu bado wanapanuapanua tuu...wacha tuwatumie tupunguze hasira zetu za kutafuta mapenez kwa jasho letu
 
Back
Top Bottom