UKICHUKIA KAMEZE WEMBE UFE
Girlfriend wako anatokea TEGETA.....wewe unakaa CHAMANZI.....anapanda Tegeta kwa kugombania....hadi Kariakoo....anapanda gari za MBAGALA na zenyewe kwa kugombania anakosa siti....hadi Mbagala.....anapanda za kuja Chamazi..nazo m'banano mkubwa.....anafika geto unakurupuka tu....oooh baby nilikuwa nimekumiss....
unamrukia unamvua nguo...bahati mbaya geto hakuna feni joto kali....unapaparuka unaanza mambo yako uliyoyamiss.....mwisho wa siku yanatokea ya kutokea unakuja kupost facebook status..
"Mademu wengine bwana wachafu wanakuja kunukisha geto...mijasho hawajisafishi kunako..." mara "mademu wengine wazembe hawakatiki wamekaa kama magogo tu" PUMBAVU KABISA
WEWE akate kiuno gani sasa wakati kimechoka kwa kubanwa kwenye usafiri????
SIKIA wewe mselamavi...mchafu ni wewe...tena mjinga usiyekuwa na huruma.....ungetaka afike geto akiwa ananukia pafyumu ungemkodia taksi kuanzia Tegeta...hapo ndo ujue kuwa kama feni limekushinda kununua utaweza kulipia teksi???
***OK ipo hivi...kama teksi huwezi kuwa mstaarabu muache apumzike, muwekee maji bafuni aoge..ndo umalize shida zako sio kumgeuza mtoto wa watu kifaa cha mazoezi kauzu wewe. Ukitaka fastafasta vinavyonukia kanunue changudoa huko Buguruni.
Wanaume tuwe na heshima katika miili ya akina dada...
VIA...ulivyo pimbi unampa nauli ya kurudi BUKU......
Girlfriend wako anatokea TEGETA.....wewe unakaa CHAMANZI.....anapanda Tegeta kwa kugombania....hadi Kariakoo....anapanda gari za MBAGALA na zenyewe kwa kugombania anakosa siti....hadi Mbagala.....anapanda za kuja Chamazi..nazo m'banano mkubwa.....anafika geto unakurupuka tu....oooh baby nilikuwa nimekumiss....
unamrukia unamvua nguo...bahati mbaya geto hakuna feni joto kali....unapaparuka unaanza mambo yako uliyoyamiss.....mwisho wa siku yanatokea ya kutokea unakuja kupost facebook status..
"Mademu wengine bwana wachafu wanakuja kunukisha geto...mijasho hawajisafishi kunako..." mara "mademu wengine wazembe hawakatiki wamekaa kama magogo tu" PUMBAVU KABISA
WEWE akate kiuno gani sasa wakati kimechoka kwa kubanwa kwenye usafiri????
SIKIA wewe mselamavi...mchafu ni wewe...tena mjinga usiyekuwa na huruma.....ungetaka afike geto akiwa ananukia pafyumu ungemkodia taksi kuanzia Tegeta...hapo ndo ujue kuwa kama feni limekushinda kununua utaweza kulipia teksi???
***OK ipo hivi...kama teksi huwezi kuwa mstaarabu muache apumzike, muwekee maji bafuni aoge..ndo umalize shida zako sio kumgeuza mtoto wa watu kifaa cha mazoezi kauzu wewe. Ukitaka fastafasta vinavyonukia kanunue changudoa huko Buguruni.
Wanaume tuwe na heshima katika miili ya akina dada...
VIA...ulivyo pimbi unampa nauli ya kurudi BUKU......