Hii kada wanajiona wako juu ya sheria

Hii kada wanajiona wako juu ya sheria

Mr Equalizer

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2013
Posts
611
Reaction score
727
Hawa wenzetu sijui nani kawadanganya . Wao hujiona ni wa kipekee sana. Wakati mwingine hujiona wako juu ya sheria.

Liko tatizo kubwa sana kwa hawa jamaa. Nadhani umefika wakati sasa wa kupitia mitaala ya mafunzo yao.

Wengi wao ukiongea nao ni wa kawaida sana kichwani .Wengine ni weupe kabisa kichwani. Lakini katika utumishi wa uma wanajiona wao ni class ya juu sana.
 
mkuu achana na tungo tata waweke wazi ni akinanani
 
Siku zote mwanaume wa kwelii uweka mambo wazi, Sasa unapoona anaficha ficha jua wazi huyo Sio mwenzetu, Bila Shaka atakuwa ni mwanaume wa Dasalama tu.
 
Hawa kama sio ndata basi wale watu wa mbeya
 
Back
Top Bottom