Hii issue ya TIGOPESA na CRDB ni mimi tu au?

Hii issue ya TIGOPESA na CRDB ni mimi tu au?

BONGE LA BWANA

Senior Member
Joined
Apr 14, 2015
Posts
199
Reaction score
168
Habari waungwana, nimekutana na changamoto kwenye tigopesa, jana baada ya kufanya muamala kwenda Airtel.
Hela kwenye akaunti yangu imekatwa lkn mpokeaji hajapokea hy hela. Baada ya kuongea na customer care waliniambia issue itakuwa solved ndani ya masaa24. Lakini baada ya kupita masaa 24 wananiambie niendelee kusubiri.

Leo tena, nimefanya muamala kupitia simbaking, hela imekatwa kwenye akaunti lkn mpokeaji hajapokea, na wao wanasema itashughulikiwa ndani ya masaa24 ya kazi.

Hii issue ni mm tu au kuna mwingine amekutana nayo?
 
Jana nilituma pesa toka tigo pesa kwenda airtel money, hela ilikatwa kwenye account yangu lakini haikufika kwa mlengwa. .

Baada ya kuongea na customer care walisema pesa itarudi ndani ya saa 24 na ilirudi leo asubuhi.

Nikatuma tena leo hii ikawa kama ilivyokuwa jana, nikatoa taarifa customer care wakasema kuna tatizo na baada ya muda mfupi hela ikarudi
 
Jana nilituma pesa toka tigo pesa kwenda airtel money, hela ilikatwa kwenye account yangu lakini haikufika kwa mlengwa. .

Baada ya kuongea na customer care walisema pesa itarudi ndani ya saa 24 na ilirudi leo asubuhi.

Nikatuma tena leo hii ikawa kama ilivyokuwa jana, nikatoa taarifa customer care wakasema kuna tatizo na baada ya muda mfupi hela ikarudi
Kwangu hela haijarud na ni zaid ya masaa 24 mpk ss
 
Jana nilituma pesa toka tigo pesa kwenda airtel money, hela ilikatwa kwenye account yangu lakini haikufika kwa mlengwa. .

Baada ya kuongea na customer care walisema pesa itarudi ndani ya saa 24 na ilirudi leo asubuhi.

Nikatuma tena leo hii ikawa kama ilivyokuwa jana, nikatoa taarifa customer care wakasema kuna tatizo na baada ya muda mfupi hela ikarudi
Bongo ukiwa na hela benki kama siyo yako vile, bora kuweka kwenye majaba tu. Uongouongo mwingii, unamuaminisha ndani ya saa 24, halafu zinapita unaambiwa tuendelee kusubiri, what a fakin dude is that!
 
Back
Top Bottom