Niom city ni niniWadau mimi ni mmoja ya watu ambao japo sio wafuatiliaji sana lakini kuna kitu sijaelewa kwa mujibu wa Forbes bilionea Mmarekani mwenye asili ya South Africa, Elon Musk ndiye binaadam mwenye pesa zaidi dunian US dollar billion 230.
Lakini juzi nimesikia mmiliki mpya wa Newcastle United Mohammad Bin Salman wa Saudia Arabia ana dollar za Kimarekani billion 500 wala sijawahi kumsikia Forbes wakimgusia hata kwa top 10000 yao hii sasa imekaaje?
Na sahihi wako na mpango wa kutengeneza city ya Niom huko Saudia kwa mabilioni ya dollar halafu hawaringi wallaaaaah.
How this happened on earth via crestus magori
Vp kuhusu Mo mdauWewe wawapi??!!kwani hujui waarabu pesa zao za familia nzima sio mtu mmoja moja kama wazungu na forbes wanachunguza mbaka umiliki wa mtu mmojamoja sasa kwa asilimia kubwa waarabu ni urithi na za familia si wangetaja mbona dangote wanataja tu
Niacheni Nile hela zangu kwa amani!Wadau mimi ni mmoja ya watu ambao japo sio wafuatiliaji sana lakini kuna kitu sijaelewa kwa mujibu wa Forbes bilionea Mmarekani mwenye asili ya South Africa, Elon Musk ndiye binaadam mwenye pesa zaidi dunian US dollar billion 230.
Lakini juzi nimesikia mmiliki mpya wa Newcastle United Mohammad Bin Salman wa Saudia Arabia ana dollar za Kimarekani billion 500 wala sijawahi kumsikia Forbes wakimgusia hata kwa top 10000 yao hii sasa imekaaje?
Na sahihi wako na mpango wa kutengeneza city ya Niom huko Saudia kwa mabilioni ya dollar halafu hawaringi wallaaaaah.
How this happened on earth via crestus magori
Ule ni utajiri wa Saudi Arabia kama nchi na sio wake binafsi.Wadau mimi ni mmoja ya watu ambao japo sio wafuatiliaji sana lakini kuna kitu sijaelewa kwa mujibu wa Forbes bilionea Mmarekani mwenye asili ya South Africa, Elon Musk ndiye binaadam mwenye pesa zaidi dunian US dollar billion 230.
Lakini juzi nimesikia mmiliki mpya wa Newcastle United Mohammad Bin Salman wa Saudia Arabia ana dollar za Kimarekani billion 500 wala sijawahi kumsikia Forbes wakimgusia hata kwa top 10000 yao hii sasa imekaaje?
Na sahihi wako na mpango wa kutengeneza city ya Niom huko Saudia kwa mabilioni ya dollar halafu hawaringi wallaaaaah.
How this happened on earth via crestus magori
Wadau mimi ni mmoja ya watu ambao japo sio wafuatiliaji sana lakini kuna kitu sijaelewa kwa mujibu wa Forbes bilionea Mmarekani mwenye asili ya South Africa, Elon Musk ndiye binaadam mwenye pesa zaidi dunian US dollar billion 230.
Lakini juzi nimesikia mmiliki mpya wa Newcastle United Mohammad Bin Salman wa Saudia Arabia ana dollar za Kimarekani billion 500 wala sijawahi kumsikia Forbes wakimgusia hata kwa top 10000 yao hii sasa imekaaje?
Na sahihi wako na mpango wa kutengeneza city ya Niom huko Saudia kwa mabilioni ya dollar halafu hawaringi wallaaaaah.
How this happened on earth via crestus magori
Sio zake peke yake ni family ndio maana yeye anatajwa coz mali zinaandikwa mo and his familyVp kuhusu Mo mdau
Kwahiyo wewe unajua kuliko waoForbes ni wazee wa propaganda tu, Mfano hapa bongo wanadai Mo ndo tajiri namba moja kwa data zao wakati kiuhalisia Bakhresa ndo mwny noti zaidi.!