The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Okay
Hao waarabu mali zao ni za jumuiya yaani za kifamilia sio za mtu mmojamoja tofauti na wazungu mfano huyo mfalme wa saudia ni za kifamilia + urithi na forbes wanakupekua na umiliki sasa unakuta imeandikwa familia utasema yako🙄🙄🙄Sijajua kwanini hao Forbes hawaingizi matajiri wa mafuta kwenye list zao, nahisi hao jamaa wenyewe hawapendi kuwemo ndani hizo list.
Huyo ni mwanasiasa na mtawala pia kutoka katika ufalme wa Saudi Arabia hivo anachomiliki sio halali ni kwa wizi ndo Mana hajawekwa kwenye hiyo orodha.
Sio kweliInadaiwa Putin ana mkwanja duniani hakuna mtu anao ila ndio hivyo Forbes hawanaye kwenye list.
Hebu weka ukweli hapa tuujue.Sio kweli
Kwasababu hawajaandika Forbes!Sio kweli
kuna totafuti ya mali binafsi na mali ya kampuni ambayo mtu ni majority shareholder. Na ni 320 B sio 500B
Collective wealth inamaanisha hizo hela sio zake pekee yake.
View attachment 1988170
View attachment 1988167
Wewe utakuwa una matatizo.. unaweza kutuambia chanzo cha habari yako kuwa alinunua timu kwa dola billion 500? Au unatuletea habari za "ninasikia"...lete chanzo hapaWadau mimi ni mmoja ya watu ambao japo sio wafuatiliaji sana lakini kuna kitu sijaelewa kwa mujibu wa Forbes bilionea Mmarekani mwenye asili ya South Africa, Elon Musk ndiye binaadam mwenye pesa zaidi dunian US dollar billion 230
Lakini juzi nimesikia mmiliki mpya wa Newcastle united Mohammad Bin Salman wa Saudia Arabia ana dollar za Kimarekani billion 500 wala sijawahi kumsikia Forbes wakimgusia hata kwa top 10000 yao hii sasa imekaaje?
Na sahiii wako na mpango wa kutengeneza city ya Niom huko Saudia kwa mabilioni ya dollar halafu hawaringi wallaaaaah.
How this happened on earth via crestus magori
Arabuni matajiri wengi uwa wanatokana na falme zao ambao hela zao utokana na kodi na mali za wananchi eg.visima vya mafuta...Wadau mimi ni mmoja ya watu ambao japo sio wafuatiliaji sana lakini kuna kitu sijaelewa kwa mujibu wa Forbes bilionea Mmarekani mwenye asili ya South Africa, Elon Musk ndiye binaadam mwenye pesa zaidi dunian US dollar billion 230
Lakini juzi nimesikia mmiliki mpya wa Newcastle united Mohammad Bin Salman wa Saudia Arabia ana dollar za Kimarekani billion 500 wala sijawahi kumsikia Forbes wakimgusia hata kwa top 10000 yao hii sasa imekaaje?
Na sahiii wako na mpango wa kutengeneza city ya Niom huko Saudia kwa mabilioni ya dollar halafu hawaringi wallaaaaah.
How this happened on earth via crestus magori
Hizo sio pesa za MBS ila ni pesa za umma kupitia mfuko wa uwekezaji wa umma wa Saudia (PIF) yaani Public Investment Fund.Lakini juzi nimesikia mmiliki mpya wa Newcastle united Mohammad Bin Salman wa Saudia Arabia ana dollar za Kimarekani billion 500 wala sijawahi kumsikia Forbes wakimgusia hata kwa top 10000 yao hii sasa imekaaje?
Mo nae kaanza from Scratch kweli?Mbs fedha zake za kuchotaaa
Wenzao wananzaa from scratch
Ova
Unajibu kama unawasha data kwenye Tecno, unapaswa kujibu kwa kuelezea hizo biashara alizozishikilia ambazo ni hatari.Yale magari na mabango ya bakhresa yasikudanganye mkuu!! Mo ana hela sana,Sana!! Kuna biashara amezishikilia Tanzania hii ni hatari
HahahahUnajibu kama unawasha data kwenye Tecno, unapaswa kujibu kwa kuelezea hizo biashara alizozishikilia ambazo ni hatari.
Hizo pesa ni za Saudi Arabia, ila ziko chini ya usimamizi wa kifalmeSijajua kwanini hao Forbes hawaingizi matajiri wa mafuta kwenye list zao, nahisi hao jamaa wenyewe hawapendi kuwemo ndani hizo list.
hahahaha kamanda Tecno inaingiaje hapo ?Unajibu kama unawasha data kwenye Tecno, unapaswa kujibu kwa kuelezea hizo biashara alizozishikilia ambazo ni hatari.
Mkuu biashara gani ya tofauti ikiwa karibu zote Ana mkopi bakhresaYale magari na mabango ya bakhresa yasikudanganye mkuu!! Mo ana hela sana,Sana!! Kuna biashara amezishikilia Tanzania hii ni hatari