Hii ipoje, Forbes tajiri wao namba 1 duniani ana $billion 230 lakini Mohammad bin Salman ana $billion 500 na hatumsikii

Wewe wawapi??!!kwani hujui waarabu pesa zao za familia nzima sio mtu mmoja moja kama wazungu na forbes wanachunguza mbaka umiliki wa mtu mmojamoja sasa kwa asilimia kubwa waarabu ni urithi na za familia si wangetaja mbona dangote wanataja tu
 
Sijajua kwanini hao Forbes hawaingizi matajiri wa mafuta kwenye list zao, nahisi hao jamaa wenyewe hawapendi kuwemo ndani hizo list.
Hao waarabu mali zao ni za jumuiya yaani za kifamilia sio za mtu mmojamoja tofauti na wazungu mfano huyo mfalme wa saudia ni za kifamilia + urithi na forbes wanakupekua na umiliki sasa unakuta imeandikwa familia utasema yako🙄🙄🙄
 
kuna totafuti ya mali binafsi na mali ya kampuni ambayo mtu ni majority shareholder. Na ni 320 B sio 500B

Collective wealth inamaanisha hizo hela sio zake pekee yake.
View attachment 1988170

View attachment 1988167

Nadhani kiasi cha pesa kimeonekana pungufu kwa sababu yeye amezungumzia thamani ya pesa kwa Dola za kimarekani na wewe ushahidi wako uko katika mtindo wa Pauni za kingereza.
 
Wadau mimi ni mmoja ya watu ambao japo sio wafuatiliaji sana lakini kuna kitu sijaelewa kwa mujibu wa Forbes bilionea Mmarekani mwenye asili ya South Africa, Elon Musk ndiye binaadam mwenye pesa zaidi dunian US dollar billion 230

Lakini juzi nimesikia mmiliki mpya wa Newcastle united Mohammad Bin Salman wa Saudia Arabia ana dollar za Kimarekani billion 500 wala sijawahi kumsikia Forbes wakimgusia hata kwa top 10000 yao hii sasa imekaaje?

Na sahiii wako na mpango wa kutengeneza city ya Niom huko Saudia kwa mabilioni ya dollar halafu hawaringi wallaaaaah.

How this happened on earth via crestus magori
Wewe utakuwa una matatizo.. unaweza kutuambia chanzo cha habari yako kuwa alinunua timu kwa dola billion 500? Au unatuletea habari za "ninasikia"...lete chanzo hapa
 
Wadau mimi ni mmoja ya watu ambao japo sio wafuatiliaji sana lakini kuna kitu sijaelewa kwa mujibu wa Forbes bilionea Mmarekani mwenye asili ya South Africa, Elon Musk ndiye binaadam mwenye pesa zaidi dunian US dollar billion 230

Lakini juzi nimesikia mmiliki mpya wa Newcastle united Mohammad Bin Salman wa Saudia Arabia ana dollar za Kimarekani billion 500 wala sijawahi kumsikia Forbes wakimgusia hata kwa top 10000 yao hii sasa imekaaje?

Na sahiii wako na mpango wa kutengeneza city ya Niom huko Saudia kwa mabilioni ya dollar halafu hawaringi wallaaaaah.

How this happened on earth via crestus magori
Arabuni matajiri wengi uwa wanatokana na falme zao ambao hela zao utokana na kodi na mali za wananchi eg.visima vya mafuta...

Ivyo matajiri wa kiaarabu hawana mali binafsi bali ni za wananchi,pia malkia wa uingereza, Rais Puttin ambae anasemekana kuwa ndie trillionaire wa kwanza ktk karne hii,ana utajiri wa USD trillion 2(USD 2,000 billions) ambapo asilimia zaidi ya 80 ni mali za wananchi.
 
Lakini juzi nimesikia mmiliki mpya wa Newcastle united Mohammad Bin Salman wa Saudia Arabia ana dollar za Kimarekani billion 500 wala sijawahi kumsikia Forbes wakimgusia hata kwa top 10000 yao hii sasa imekaaje?
Hizo sio pesa za MBS ila ni pesa za umma kupitia mfuko wa uwekezaji wa umma wa Saudia (PIF) yaani Public Investment Fund.
 
Yale magari na mabango ya bakhresa yasikudanganye mkuu!! Mo ana hela sana,Sana!! Kuna biashara amezishikilia Tanzania hii ni hatari
Unajibu kama unawasha data kwenye Tecno, unapaswa kujibu kwa kuelezea hizo biashara alizozishikilia ambazo ni hatari.
 
Wanasiasa na familia za kifalme mara nyingi pesa zao huwa wanazipata kwa kutumia vyeo vyao ndio maana hawawemekwi. Mfano Salman anasimamia mfuko wa familia ya kifalme sasa unategemea nn?
 
Umechanganya madesa mkuu.

Mohamed Bin Salman utajiri wake binafsi ni $23B wakati huo yeye pamoja na familia ndio utajiri wao unafikia $500

Kwenye shirikisho lao huyu MBS ndio mwenyekiti

Umeelewa sasa?
 
Back
Top Bottom