Hii inatoa picha gani nje ya Taifa letu?

Hii inatoa picha gani nje ya Taifa letu?

Rato

Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
92
Reaction score
7
Ni kutokana tofauti kubwa ya kimapokezi ya wakuu wa nchi kati ya Rais wa China na Amerca,kuanzia Ikulu usafi wa mazingira,barabara kudekiwa,kusikika live kwenye Tv.Je mambo haya hayakuwabagua wakubwa hawa?
 
Ile ya wachina haikuwa hiari ya serikali yetu, ilikuwa ni kuokoa jahazi mtu asitiwe kitanzi
 
Ni kutokana tofauti kubwa ya kimapokezi ya wakuu wa nchi kati ya Rais wa China na Amerca,kuanzia Ikulu usafi wa mazingira,barabara kudekiwa,kusikika live kwenye Tv.Je mambo haya hayakuwabagua wakubwa hawa?

Kwani wachina walisema wanataka kumlinda rais wao wakakataliwa? Hilo la kwanza. La pili. Je, huyu wa China alialikwa au alijialika? Nauliza kwa kuwa taarifa zake hazikusambaa kma za headboy. Hata hivyo China inapaswa kufahamu Marekani ni kaka yake.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Nijuavyo mimi wote ni wadau wa maendeleo kwa Tanzania na walialikwa iweje wabaguliwe wengine waonekane ni bora zaidi?
 
Siku zote kuna mkubwa na mdogo. Wachina ndiyo kwanza wanasza kukua. Pili na muhimu sana Marekani ana maadui wengi na mchina ana marafiki tu!
 
Kwani wachina walisema wanataka kumlinda rais wao wakakataliwa? Hilo la kwanza. La pili. Je, huyu wa China alialikwa au alijialika? Nauliza kwa kuwa taarifa zake hazikusambaa kma za headboy. Hata hivyo China inapaswa kufahamu Marekani ni kaka yake.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

red ndio jibu! zingine bakshishi! labda na hili hapa chini:

Ile ya wachina haikuwa hiari ya serikali yetu, ilikuwa ni kuokoa jahazi mtu asitiwe kitanzi
 
Ni kutokana tofauti kubwa ya
kimapokezi ya wakuu wa nchi kati ya Rais wa China na Amerca,kuanzia
Ikulu usafi wa mazingira,barabara kudekiwa,kusikika live kwenye Tv.Je
mambo haya hayakuwabagua wakubwa hawa?

Tusizungumze mengi. wote kwa pamoja wanatugombania kama mwanamke malaya.mabwana wote wanatutaka .jiulize wanataka nn kwetu wakati wanawake wenzetu wapo.
 
Back
Top Bottom