Hii inamaana gani?

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,841
Reaction score
25,359
Mwanaume anadai natafuta mwanamke , mchakarikaji.

Na mwanamke anatafuta mwanaume mtafutaji

Kwa ushauri tu je usipo mpata mke mchakarikaji,au mwanaume mtafutaji?

Wewe mtafute mtu tu unayempenda ndio muanze maisha maana maisha yanaenda ukitafuta mtu wako umtakaye .
 
Maisha ya sasa yana demand both parties zichangie uchumi, wanacho ficha kwenye ujumbe ni mwanaume au mwanamke ambae analeta chochote. Sio wa kukaa ndani

But you have a point, kama hujampenda you wont get anywhere
 
Nimekuelewa Maua.



KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Maisha ya sasa yana demand both parties zichangie uchumi, wanacho ficha kwenye ujumbe ni mwanaume au mwanamke ambae analeta chochote. Sio wa kukaa ndani

But you have a point, kama hujampenda you wont get anywhere
Sawa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…