jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,782
jamani kinadada hakuna kitu kinaniboa kama hizi lipshine na lipstiky yaan mkishazipaka baada ya muda
kidogo huwa kuna utando mweupe ka maziwa mgando hutokea kwenye lips hasa asipoongea kwa muda yaan huwa nasikia kinyaaa na kutapika.khaaaaa yaan inaboa. kwan urembo haukamiliki bila kupaka hayo madubwasha?
sipendi,nasema tena sipendi mnakera sana.
Pole sana bro. Mimi nahisi vya aina hivyo ni feki (vya kichina) au vime - expire. Mbona wengine wanapaka na hawawi hivyo?
Kama hali yenyewe ndio hivi unahaki ya kusema
uswahilini wamejaa kibao..